Anachokifanya Makonda ni ushahidi tosha serikali Iko usingizini

onjwayo

JF-Expert Member
Apr 8, 2020
1,346
1,303
Pita pita na mikiki mikiki ya Makonda Kila kukicha ni kuivua uchi serikali ya Chama chake. Ni kama huko ndani ya serikali ni uonevu na dharau dhidi ya kada ya chini. Malalamiko ya wananchi ni mengi mnoooooo. Zaidi ni madai ya kudhulumiwa na kunyanyaswa either na vyombo vya Dola au watendaji wenye dhamana ndani ya serikali.
Kuna maeneo wanyonge wamedhulumiwa ardhi, sehemu nyingine wazabuni hawalipwi baada ya kazi walizopewa na halmashauri za Manispaa au wilaya. Kwingine ni vilio juu ya gharama za tiba kwenye baadhi ya Zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya na mkoa ambazo maelekezo yake hutolewa Bure lakini wananzengo wanatozwa fedha. Manung'uniko ni mengi mnoooooo.
Hii yote huonyesha utendaji mbovu kiasi kwamba nchi Sasa inamhitaji one man show kushughulika na kero za wananchi na siyo eti serikali Iko kazini. Pengine tuseme mama Yuko kazini ila anapishana na watendaji wake. Mfano hai ni katibu huyo mwenezi kudiriki kuwahoji baadhi ya mawaziri na wakuu wa mikoa na wanausalama (polisi).
Kama Hali ya wananchi ndiyo hii....malalamiko Kila Kona basi tutegemee Chadema kuzoa wafuasi wengi maana kwenye maandamano Yao wamebeba maudhui ya kero lukuki ambazo wananchi wanapitia. Na Sasa ni dhahiri katiba mpya haikwepeki. Ni mjinga tu anaona aende kwa Makonda kulalamika wakati kama katiba ingeyagusa baadhi ya maeneo Umungu watu ungeisha na watu wangewajibishwa kwa matendo Yao ya kutokujali na ulevi wa madaraka.
Siku moja hiki Chama kitang'ooka na baadhi ya watenda maovu watawajibishwa. Mungu aingilie akili za Watanzania tuweze kujitambua kuwa wanachokitaka kina Lissu siyo tu madaraka Bali ni dira na uelekeo wa kupata haki Kila mahali. Katiba mpya ni Sasa.
20240201_122558.jpg
 
Pita pita na mikiki mikiki ya Makonda Kila kukicha ni kuivua uchi serikali ya Chama chake. Ni kama huko ndani ya serikali ni uonevu na dharau dhidi ya kada ya chini. Malalamiko ya wananchi ni mengi mnoooooo. Zaidi ni madai ya kudhulumiwa na kunyanyaswa either na vyombo vya Dola au watendaji wenye dhamana ndani ya serikali.
Kuna maeneo wanyonge wamedhulumiwa ardhi, sehemu nyingine wazabuni hawalipwi baada ya kazi walizopewa na halmashauri za Manispaa au wilaya. Kwingine ni vilio juu ya gharama za tiba kwenye baadhi ya Zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya na mkoa ambazo maelekezo yake hutolewa Bure lakini wananzengo wanatozwa fedha. Manung'uniko ni mengi mnoooooo.
Hii yote huonyesha utendaji mbovu kiasi kwamba nchi Sasa inamhitaji one man show kushughulika na kero za wananchi na siyo eti serikali Iko kazini. Pengine tuseme mama Yuko kazini ila anapishana na watendaji wake. Mfano hai ni katibu huyo mwenezi kudiriki kuwahoji baadhi ya mawaziri na wakuu wa mikoa na wanausalama (polisi).
Kama Hali ya wananchi ndiyo hii....malalamiko Kila Kona basi tutegemee Chadema kuzoa wafuasi wengi maana kwenye maandamano Yao wamebeba maudhui ya kero lukuki ambazo wananchi wanapitia. Na Sasa ni dhahiri katiba mpya haikwepeki. Ni mjinga tu anaona aende kwa Makonda kulalamika wakati kama katiba ingeyagusa baadhi ya maeneo Umungu watu ungeisha na watu wangewajibishwa kwa matendo Yao ya kutokujali na ulevi wa madaraka.
Siku moja hiki Chama kitang'ooka na baadhi ya watenda maovu watawajibishwa. Mungu aingilie akili za Watanzania tuweze kujitambua kuwa wanachokitaka kina Lissu siyo tu madaraka Bali ni dira na uelekeo wa kupata haki Kila mahali. Katiba mpya ni Sasa. View attachment 2890955
Kuingiza CHADEMA kwenye uzi kama huu ni kutukosea heshima chama Tawala. Huu ni mziki mnene wa Makonda. Ni kweli serikali wengi wamelala.
 
Pita pita na mikiki mikiki ya Makonda Kila kukicha ni kuivua uchi serikali ya Chama chake. Ni kama huko ndani ya serikali ni uonevu na dharau dhidi ya kada ya chini. Malalamiko ya wananchi ni mengi mnoooooo. Zaidi ni madai ya kudhulumiwa na kunyanyaswa either na vyombo vya Dola au watendaji wenye dhamana ndani ya serikali.
Kuna maeneo wanyonge wamedhulumiwa ardhi, sehemu nyingine wazabuni hawalipwi baada ya kazi walizopewa na halmashauri za Manispaa au wilaya. Kwingine ni vilio juu ya gharama za tiba kwenye baadhi ya Zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya na mkoa ambazo maelekezo yake hutolewa Bure lakini wananzengo wanatozwa fedha. Manung'uniko ni mengi mnoooooo.
Hii yote huonyesha utendaji mbovu kiasi kwamba nchi Sasa inamhitaji one man show kushughulika na kero za wananchi na siyo eti serikali Iko kazini. Pengine tuseme mama Yuko kazini ila anapishana na watendaji wake. Mfano hai ni katibu huyo mwenezi kudiriki kuwahoji baadhi ya mawaziri na wakuu wa mikoa na wanausalama (polisi).
Kama Hali ya wananchi ndiyo hii....malalamiko Kila Kona basi tutegemee Chadema kuzoa wafuasi wengi maana kwenye maandamano Yao wamebeba maudhui ya kero lukuki ambazo wananchi wanapitia. Na Sasa ni dhahiri katiba mpya haikwepeki. Ni mjinga tu anaona aende kwa Makonda kulalamika wakati kama katiba ingeyagusa baadhi ya maeneo Umungu watu ungeisha na watu wangewajibishwa kwa matendo Yao ya kutokujali na ulevi wa madaraka.
Siku moja hiki Chama kitang'ooka na baadhi ya watenda maovu watawajibishwa. Mungu aingilie akili za Watanzania tuweze kujitambua kuwa wanachokitaka kina Lissu siyo tu madaraka Bali ni dira na uelekeo wa kupata haki Kila mahali. Katiba mpya ni Sasa. View attachment 2890955
Huyu bwege Zerobrain bado kidogo tu atatamka mwenyewe jinsi alivyomteka Ben Sanane na walikotupa maiti yake. Bado kidogo atatuambia namna walivyopanga kumshambulia Tundu Lissu na kila kilichotokea Dodoma pale Area D. Kari anavyopenda kushika microphone na kuongea ndivyo anavyoishiwa hoja. Na kwa vile HANA AKILI BASI tukae mwendo wa kupokea siri za uovu wote waliofanya na Magufuli
 
Hakuna jambo lenye tija ambalo serikali wanafanya kwa usahihi wake halipo
 
Hatuna taasisi imara hata moja,hata hiyo ya 'ura hisi' haiko strong kwahivyo tulipaswa kufukuza uongozi kazi kisha tuanze moja!!! Tatizo hata wakuchukua maamuzi yakubadili uongozi hawajielewi wao kazi ni kusifu tuuu kutwa kucha...
 
Back
Top Bottom