Hana anachosubiri, zaidi ya mapenzi aliyonayo kwake na dada anajua kuwa anapendwa. Siku mpenzi yakiisha si ndo atam-delete. Halafu huyo dada ndo atataka yale mapenzi ya zamani yarudi halafu itakuwa ngumu.
Anadai kuna msichana anamchezea kwa vile anajua jamaa amefika (anampenda). Labda anamzingua kumpa mzigo. So, jamaa anadai siku ambayo ataamua kumfuta kwenye moyo wake ndipo huyo msichana atashangaa.
Anadai kuna msichana anamchezea kwa vile anajua jamaa amefika (anampenda). Labda anamzingua kumpa mzigo. So, jamaa anadai siku ambayo ataamua kumfuta kwenye moyo wake ndipo huyo msichana atashangaa.
Alichoshindwa kuandika ujumbe ukiwa umekamilika ni nini
Kuna watu hata wakiwa humu ndani wanafikiria ule uandishi wa sms na ndo maana kuna vimaneno kama hivyo vya dcd wanaandika hivyo hivyo
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi
Alichoshindwa kuandika ujumbe ukiwa umekamilika ni nini
Kuna watu hata wakiwa humu ndani wanafikiria ule uandishi wa sms na ndo maana kuna vimaneno kama hivyo vya dcd wanaandika hivyo hivyo
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi