Anaandika Absalom Kibanda

Magufuli hawezi kubadilika, MAGUFULI Ni prentenda Ni mtu mwenye kupenda kulipa visasi. Ni mtu asiesamehe, Magufuli hawezi kubadilika mpaka siku atakapowekwa ndani au kuzungukwa na watanzania kwa mabaya aliyoyafanya. Magufuli ataaribu yote mazuri aliyoyafanya. Sifa, Kiburi Kiburi kujiona kuwa yeye Ni mkubwa kuliko MUNGU. Magufuli anajiona hawezi kufa, anajiona ataishi milele na kuongoza milele. Magufuli Hana akili ya kujua dunia inaenda wapi na tuko wapi, Magufuli anaangalia ya sasa. Hana upeo wa kusoma nyakati kujua dunia inaenda wapi. Magufuli atakuja kupata tabu na mtayasahau yote aliyoyafanya na hawa wanaomwabudu na kumtumikia kwa kuua watu watamkana. Muda unakuja na Wala siyo mbali
Mheshimiwa punguza jazba sisi ni binadamu kubadilika kupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasoma bandiko lako ila kwenye kulidodosa nimeona sehemu umemfananisha Pombe na Mandela na hapo ndipo nilipofikia uamuzi wa kukuita mpuuzi
 
Sijasoma bandiko lako ila kwenye kulidodosa nimeona sehemu umemfananisha Pombe na Mandela na hapo ndipo nilipofikia uamuzi wa kukuita mpuuzi
Mambo ya kuuma na kupulizia, hawakawii kufunga kagazeti kake, lazima ajilendekeze kidogo, Mandela ni number nyingine kabisa
 
Kimsingi unaonekana kupwaya taratibu huko ugenini. Rudi Nyumbani kumenoga.
 
Magufuli hawezi kubadilika, MAGUFULI Ni prentenda Ni mtu mwenye kupenda kulipa visasi. Ni mtu asiesamehe, Magufuli hawezi kubadilika mpaka siku atakapowekwa ndani au kuzungukwa na watanzania kwa mabaya aliyoyafanya. Magufuli atakuja kupata tabu na mtayasahau yote aliyoyafanya na hawa wanaomwabudu na kumtumikia kwa kuua watu watamkana. Muda unakuja na Wala siyo mbali
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba! - JamiiForums
P.
 
Mshauri wake ni Dikteta kule Rwanda ,

Yeye pia amekuwa na sifa hizo za Kidikteta.

Mwisho wa Madikteta uwa mbaya sana.
 
Kwa mfano, hatuwezi tukasema tuna- lo taifa huru, la kidemokrasia na linalo- heshimu haki za binadamu wakati kukiwa na Watanzania wenzetu wa aina ya Tundu Lissu, Ben Saanane, Azori Gwanda na kabla yao, Dk. Steven Ulimboka na Daudi Mwangosi, ambao ama waliumizwa, ku- toweka na wengine kufa katika mazingira yanayoshawishi kuwapo bayana kwa jiti- hada za baadhi ya watu au makundi ya kihalifu ndani ya nchi yaliyojipa uhalali wa, kuwaziba wengine midomo kikatili na hata kuamua hatima zao.
Nimeipenda sana sana hii kwani ndio uhalisia wa nchi leo hii.
 
Ni wazi kwamba mbegu ya uongozi ndani ya JPM ilipandwa na Mkapa kwa muda wa miaka 10 kati ya 1995-2005.

Bado naamini kwamba ili JPM aweze kuifinyanga vyema visheni ya urais wake na hatimaye kufikia kile alichopata kukisema kuwa ni matamanio ya kuja kuwaongoza malaika siku Mungu wake atakapomwita, basi atalazimika kuanza pale alipofundwa na ‘mentor’ wake Benjamin Mkapa.

Itaendelea Jumatano ijayo…

2015-2018 Miaka mitatu tayari imeenda Mentor hakuona haja ya kumnong'oneza Mheshiwa kuhusiana na hali ya Mambo?.
Yapo yamefanikiwa na yapo mengine yana hali mbaya na hasi uhuru wa mawazo na kisiasa.
Ahadi ya Chama eneo la utu wa Binadamu imewekwa pembeni sana!
 
JPM ni chaguo la Mungu.
Namuombea afya njema na maisha marefu.
Yanayofanyika sasa Tanzania yanashangaza dunia Nchi inasonga kwa speed nzuri mno.
 
Back
Top Bottom