Pumigogolo
Member
- Oct 29, 2014
- 49
- 42
Hiyari yashinda utumwa. Hujafungwa kamba
Tena kimbia kabisa🏃🏃Sawa mkuu, shukrani
Namie naungana na nyie wakuuNamie ntakuwa kama wewe mkuu
Yeye ndo anataka company yangu Kwann nitumie pesa zanguKama hauna pesa zako achana nae
Ahahah Kwann mkuu unemquote huyo jamaaUmenikumbusa kauli ya maarufu sana ya mwanajamii forum mmoja anitwa nyaningabu kama sijakosea hilo jina alikuwa anasema "miafrika ndivyo tulivyo"
Mtoe out,,,katikati ya story zako jifanye uko broke
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app


Sawa mkuuHiyari yashinda utumwa. Hujafungwa kamba
Vipi kama Hana sooTena kimbia kabisa![]()
Sie ligi zetu nzitoo mkuuNamie naungana na nyie wakuu
Kipindi hiki cha sikukuu na mambo ya mwaka mpya, ukiweka na birthday yake na mtoto ni wa kichaga pesa mbele kama miwani ya profesa lazima utavuka mwaka kwa mbinde sanaa. Kuwa makini usije pigwa na kitu kizito kichwaniShikamoni, habarini !
Poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa na mvua zinazoendelea kunyesha baadhi ya mikoa.
Let the bullet blows her headShe is smokin gun
Thanks , note takenKipindi hiki cha sikukuu na mambo ya mwaka mpya, ukiweka na birthday yake na mtoto ni wa kichaga pesa mbele kama miwani ya profesa lazima utavuka mwaka kwa mbinde sanaa. Kuwa makini usije pigwa na kitu kizito kichwani
Halafu siku ukirudi kusoma huu uzi, utajiona jinsi ulivyokuwa boya enzi hizo! 😊😊Namie ntakuwa kama wewe mkuu
Halafu siku ukirudi kusoma huu uzi, utajiona jinsi ulivyokuwa boya enzi hizo!![]()




Umeisha
hapana ngoja ntarud na mrejeshoo