Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,959
- 93,939
Hivi wakati unaifukunyua hii sredi, uliangalia muda iliyowekwa hapa jamvini?
Jlm ushauri wa ujengelele ni wa kipumbavu na nadhani kama ni mwanamke hataweza kuolewa na kama ataolewa hatokaa kwenye ndoa kabisa. Ukweli ni kwamba unamakosa makubwa sana tena sana. Wenzako makini kama ulikuwa na bf na ukaachana naye na ukajua ni msumbufu badilisha namba za simu. Huyu wa sasa ndiye dume lako shikiria sana hata kukuomba msamaha amefanya kosa we ndo ulitakiwa umuombe msamaha but kwa kuwa anakupenda hakuwa na jinsi. Mshikilie huyo man dada yangu