Avocado
Member
- Aug 23, 2010
- 97
- 4
Hii amri ya kutaka mitambo ya umeme yote iwashwe mara moja,inatolewa na UVSISIEM kwa nani ? Na huo mkwala wanaoutoa kwa mawaziri wakuu wastaafu kuaacha kuikosoa serikali wametumwa na nani ? Hii nchi kweli haina uongozi,viongozi wa juu wa chama chao nadhani wamekufa kwa hiyo vijana wameshika chama na serikali sasa wanatoa AMRI tu ! Kazi ipo !!!