Amri juu ninawapa mmpendane

Hivi kweli umeamua kumdhalilisha baba namna hii? Ukiendelea hivi hautafufuliwa siku ukidedi... Nimemua kumwachia Mungu

Ole wako usipotubu
Bado naendelea kutafuta kanisa nikatubu
Nita jaribu like la ufufuo na uzima SA
Nikazaliwe upya.
 
Sister utakua uko vizuri kiasi cha kila mwanaume unataka u mhandle unavyotaka kitu ambacho hawawezi kubali kabisaaaa Am i wrhong??
 
Hayo maisha ya kutukuza 24/7 ni magumu mno na yapo so boring. Haiji akilini 24/7 watu watakuwa wanatukuza tu. Kuna kitu hawa weupe walitudanganya sio bure...
 
Mbaya zaidi toka wanadamu wameingia duniani upendo huo haujawahi kuwepo toka enzi na enzi, bora tuu subiri huko mbinguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…