Amri 10 Za MWENYEEZI MUNGU

Amri 10 Za MWENYEEZI MUNGU

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
11062121_1430276687268846_8558265064805269018_n.jpg
 
Hizi ndizo zinafaa kuwa sheria za dunia nzima! Ee' Mungu tuepushe na vipofu wasiokuona...! Wafumbue macho wajue hakuna mwanadam wa kukusaidia zaidi ya wewe kumsaidia.
 
kwa vile ni za kanisa?

Ni amri za Mungu c za kanisa haziwahusu tuu watu washetani ila kila aliye wa Mungu zina mhusu....! Akiri yako kiduchu imeisha kusukuma kwa ukristo na uislam alipewa Musa kama nyie ni upande wa fillauni shauri yenu!
 
Acha swali la kizushi. Sisi tuna Mungu mmoja tu na ndiye aliyetoa hizo amri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom