Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,760
- 19,997
Mizaili zimeenza kutumwa angani....mjipange
Hii dunia ya sasa no plesi to haidi....Mambo ni moto! Kumbe wana list ya watu wengi namna hii.
Teknolojia ya Dunia iko mbali sana chini ya jua hili huwezi kufanya jambo lolote na ulimwengu USIKUONENinaposema kuna watu hawachomoki ICC Safari hii huwa namaanisha!
Lazima tuchore mstari kuwa udhalimu haulipi mwaka huu. Na bado!
Ushahidi wote wa waliyoyafanya mwaka huu wanao!!
🤣🤣😆😂😂😀😭😭Hii dunia ya sasa no plesi to haidi....
Member mmoja alisema,mama anahogopa uku anacheka , Mambo ni fire Sana mkuu mama DKiongozi au office inatakiwa kuwa makini sana na matamko au maelekezo inayotoa. Sijui kama wanajua hasara ya kutoa matamko yasiyotekelezeka
Mataga na vibaraka wa Jiwe sijui watatetea lipi , wataacha lipi kibano kutoka kila kona .Huku Amnesty ,huku EU huku balozi si mchezo watatema NDOANO tu na KIAZI CHA MOTO.
Mgonjwa wa bipolar disorder ataenda kuponea hukohuko the Hague na vibaraka wake .Halaf Magufuli bado anaamini atachomoka...Clueless fascist
Kwa sababu wewe ni Lumumba buku 7Usiseme watz wenzako, sio wote, usidhani u mzalendo mwenyewe. Me mwenyewe mtz, mzalendo, ila I don't agree with your views.
Nchi huru bila wananchi kuwa huru ni ujinga mtupuTanzania ni nchi huru!
weka japo picha yakeHabari zote mnapikiwa na wapinzani, alafu mnajifanya wasafi!
Mbona polisi alliyenyanganywa slaha na kuuawa Pemba mko kimyaa? Au yeye siyo binadamu?
Njama zenu za kuwaweka vibaraka wenu madarakani zimegoma,.
Acha ujinga na ficha upumbavu wako kwa issue serious! Nchi huru inaua na kuwatesa raia wake? Sina uhakika Kama una amani moyoni kwa haya yanayoendelea hapo nchini zaidi unajibaraguza ili ushibe! Na keshokutwa utakwenda kanisani kushiriki ibada ulivyo na roho ngumu!Tanzania ni nchi huru!