Wale wana CCM waliouwawa Mbeya na Songwe pia yule askari wa JKU Pemba mbona hatukusikia wanasema lolote. Waambie watuache kabisa ni mabwege tu hao Amnesty!Acha ujinga na ficha upumbavu wako kwa issue serious! Nchi huru inaua na kuwatesa raia wake? Sina uhakika Kama una amani moyoni kwa haya yanayoendelea hapo nchini zaidi unajibaraguza ili ushibe! Na keshokutwa utakwenda kanisani kushiriki ibada ulivyo na roho ngumu!
watu wanafikiri dunia bado ipo enzi za gizani kwamba utadhulumu usionekane. watashangaa na roho zao. ushahidi wa uovu wao upo kila mahali sasaNinaposema kuna watu hawachomoki ICC Safari hii huwa namaanisha!
Lazima tuchore mstari kuwa udhalimu haulipi mwaka huu. Na bado!
Ushahidi wote wa waliyoyafanya mwaka huu wanao!!
Sawa, pesa ya Corona mrudishe, mtasababisha Watanzania wote tuonekane wezi na matapeli.Tanzania ni nchi huru!
ICC wanawavutia pumzi tu.Huku Amnesty ,huku EU huku balozi si mchezo watatema NDOANO tu na KIAZI CHA MOTO.
Kwa hiyo mlikuwa mmalipa kisasi?Wale wana CCM waliouwawa Mbeya na Songwe pia yule askari wa JKU Pemba mbona hatukusikia wanasema lolote. Waambie watuache kabisa ni mabwege tu hao Amnesty!
Museveni ndiyo role model wetu.Huu utawala utengwe tu pamoja na ule wa Musseveni.
Unaona mlivyo wajinga, mtu akitofautiana nanyi nyumbu, anaitwa lumumba buku 7. Unamfaham patrice lumumba kwanza ww, unajua kitu alifanyiwa na Belgium, sympathizers wa bwana wenu, ndio waliomuua lumumba.Kwa sababu wewe ni Lumumba buku 7
Tena kishamba kwelikweliUchaguzi wa mwaka huu haukuwa uchaguzi na waliopanga njama za wizi walipanga kishamba sana.
Usimshirikishe Mungu kwenye ushetani, Mungu hanywi damu za binadamu.Huu ni utawala uliowekwa na kusimikwa na Mungu mwenyewe
Mlianza fujo zenu tangu awamu ya kwanza ya utawala huu na bado mmefeli
NsiyoKwa hiyo mlikuwa mmalipa kisasi?
Msando ni tumbiri tu, hawezi kutunisha msuli kwa Amsterdam.Msando Ana kazi ya kujibu jamani mara amjibu pompeo,mara Amsterdam mara eu leo tena hawa
Huwa anajitutumua etiMsando ni tumbiri tu, hawezi kutunisha msuli kwa Amsterdam.
Kwa taarifa yako Amsterdam ni shoga tu huyo ila kwa kuwa wewe ni utopolo unamwona wa maana sana. Ni kwako tu sisi wengine tunamwona shoga tu kama mashoga wengine.Msando ni tumbiri tu, hawezi kutunisha msuli kwa Amsterdam.
Tangu lini usukumani kukawa na mtu mjanja?Uchaguzi wa mwaka huu haukuwa uchaguzi na waliopanga njama za wizi walipanga kishamba sana.
Nchi huru kuua watu wake?Tanzania ni nchi huru!
Akikujibu nishtueNchi huru kuua watu wake?