Amjaza mimba mtoto wa dada yake

Kitoabu

JF-Expert Member
Jul 7, 2011
10,333
10,950
Salam wanajavi,

Kunatukio ambalo limeacha vinywa vywa watu wengi wazi, ambalo linawahusha ndugu wa nyumba moja.Inasemekana jamaa alikuja kwa dada yake kusoma,ndipo akawa na mahusiano na mtoto wa dada yake huyo.

Wawili hao ambao kiumri wanaendana walikua wakiibana ndani ya nyumba hiyo hiyo walimoishi.Hata hivyo mpaka muda huu jamaa ajulikani alipo maana tangu Ijumaa jitiahada za kumpta zimeshindikana.

Maana kwao kijijini hajafika na mawasiliano yote kazima.

Najiuliza jamaa sijui yupo kwenye hali gani muda huu?

Kwanza kaaribu maisha yake kwavitu vya kujitakia (sababu sio mtoto mdogo)

Chingine mimi kinacho nipa fikra yule mtoto sijui atamleaje? Ikizingatiwa maadili yetu kama binaadam,haipendezi kuzaa na kharam yako (mama, dada ,shangazi, mtoto wa dada yako) etc.

Nihayo tu wadau,dunia inamambo hii na kila kukicha kituko kipya kinazaliwa.
 
Salam wanajavi,,,

Kunatukio ambalo limeacha vinywa vywa watu wengi wazi,, ambalo linawahusha ndugu wa nyumba moja.

Inasemekana jamaa alikuja kwa dada yake kusoma,,,,ndipo akawa na mahusiano na mtoto wa dada yake huyo.

Wawili hao ambao kiumri wanaendana walikua wakiibana ndani ya nyumba hiyo hiyo walimoishi.

Hata hivyo mpaka muda huu jamaa ajulikani alipo maana tangu ijumaa jitiahada za kumpta zimeshindikana.

Maana kwao kijijini hajafika na mawasiliano yote kazima.

Najiuliza jamaa sijui yupo kwenye hali gani muda huu?

Kwanza kaaribu maisha yake kwavitu vya kujitakia (sababu sio mtoto mdogo)

Chingine mimi kinacho nipa fikra yule mtoto sijui atamleaje?,,,,, ikizingatiwa maadili yetu kama binaadam,,, haipendezi kuzaa na kharam yako (mama, dada ,shangazi, mtoto wa dada yako) etc.

Nihayo tu wadau,,,Dunia inamambo hii na kila kukicha kituko kipya kinazaliwa.
Whre are you?
 
Kwamba isingekuwa mimba jamaa angeendelea KUHONDOMOLA kwa kutumia style ya CHOPWINCHO bila kusahau

GOAT DENIED TO MOVE.
Hii ni style ya generally galadudu hyo....but wangetoa tu hyo mimba life iendelee
 
Hii dunia ina mambo jamani,hivi kwa mtoto wa dada yako ilisimamaje??kidogo labda ingekuwa binam lakin sio mtoto wa dada.
 
Kuna ndugu yangu mmoja aliwahi kumpa mimba dada yake ( mtoto wa mamkubwa upande wa bibi mzaa mama) na alikua mwanafunz, walikaa as family ikaonekana aibu ya kusimama mahakamani MTU na Dada yake ni kubwa yakaishia hewani
 
Tatizo hilo la ujamaa
Mtu kuja kusomea kwenu ili iweje?
Mpeleke boarding au asomee kwao au akae hostel
 
Mkuu ujamaa katika familia zetu za kiafrika hauepukiki kutokana na umaskini, ila majamaa kama haya yenye bichwa kubwa akili kisoda yanaweza kusababisha watu waogope saidia ndugu zao.
Tatizo hilo la ujamaa
Mtu kuja kusomea kwenu ili iweje?
Mpeleke boarding au asomee kwao au akae hostel
 
Back
Top Bottom