Aminizidi ujanja nifanyeje?

Pelham 1

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
548
Reaction score
100
Habari zenu nampenzi wangu nampenda sana nahisi kupokonywa muda wowote na kibaya zaidi sijatembea nae mpaka sasa hivi! nilienda nae hotel kwa makubaliano tukapate msosi na kujiachia nae mambo fulani tulivyofika hotelini nakalipia chumba kabisa tulipoingia ndani akanizingua hata kiss sikupata eti hayupo kwenye mood sijamtalifu kama tutafanya mapenzi tukaishia kupiga story mpaka saa 12 jioni nakusepa zake.

Baada ya hapo nilimchana ukweli tukutane ili ajiandae tukikutana asinirushe kama alivyofanya mwanzo baada kumwambia hivyo anipiga chenga kila kukicha nipeni maujanja nifanyeje nimeshapoteza bahati ya kwanza kwa kujifanya mpole kwake nakumsikiliza matakwa yake na alichoniambia, nataka kucorect mistake niliofanya mwanzo mpaka akanizidi ujanja! nifanyeje!?
 
Mi mwenzio nilililia na kupiga magoti hadi akakubali zaidi ya masaa mawili na nusu nabembeleza tena kwa machozi hadi magoti yanauma......usiwe mvivu na kujifanya mwema sana! hawataki wema hao. Work hard and AIM higher ila michepuko sio dili
 
ukishamgegeda then wat next? tatizo ameshakushtukia kitu pekee unachotaka ni papuchi yake tu, badilisha msimamo wako juu yake kimawazo na kimatendo, futa kabisa habari za ngono yani usigusie kabisa badala yake anza kumfanya ajihisi unampenda na kumuhitaji na si kumtamani, mtoe outings za sehemu kama beach hivi au hata kama ni lunch basi ziwe restaurant na si mahotelini manake anaweza hisi unampeleka huko kwajilli ya ngono, vizawadi hapa na pale mpaka asahau kama ulishawahi kugusia kitu hicho, then utaona mwenyewe
 

hakuna haja ya kupoteza muda. asipoteze muda wake na pesa zake.huyo mwanamke hampendi
 
Kwa hiyo unataka tukufundishe jinsi ya kumshawishi umgegede? Hebu tuondolee michepuko yako hapo. Kwa nini uzini??hatushauri wazinifu hapa
 
Labda hakukuelewa kujiachia mambo fulani, alikuelewa kupata msosi tu

Pole sana
 
Kawa alikuwa hayuko kwa mood? Mbona alikuangalia ukilipia room bila kuhoji? Mimi naona kijana hukuwa na nia ya dhati. Mkiwa wawili kwa room na si mtu na dadake, inakuaje akakukazia? Next time we mpige romance za maana alafu utaniambia kama atakutosa.
 
kishakusoma, unaonekana we ni gegeda gegeda sanaaa! kashtuka mdada wa watu! acha uzinzi eeeh.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…