Aminini nawaambia "The World is Not Fair".

Aminini nawaambia "The World is Not Fair".

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
3,643
Reaction score
4,182
Nimesikitishwa sana na kitendo alichonifanyia jirani yetu.

Huyu binti anafanya kazi ya kuuza vifaa vya electronic kwa bei ya jumla ambavyo kaka yake huwa anaviingiza nchini kutoka huko Asia.

Huyo kaka yake ni mtu anayeheshimika sana hapa kitaa,
Kwani ni mtu serious na ana exposure kubwa sana kibiashara za kuvuka mipaka ya nchi-
Ingawa sijamzoea, hata mimi nikashawishika kwenda kumwomba msaada fulani kuhusu trip za China, Dubai na Thailand,
Akaniambia,
"Usihofu mdogo wangu nitakusaidia,
Na mipango yako itakaa sawa."

Akanipa kazi ya kutafuta documents fulani,
Na akani_connect na rafiki yake ambaye anafanya biashara ambayo ni ya plan yangu.

------
Kiukweli huyu binti ni shombeshombe fulani matata na amejazia wezere lenye kiki ya MAANA!
Yaani ni balaa!!!

Sasa katika mishemishe za hapa na pale nikawa nimeshamzoea japo kwa salamu tu,
Na kwa kuwa mara kadhaa aliniona nikienda kwao kuomba ushauri wa mambo yangu fulani kwa yule kaka yake-
Hivyo mara nyingi nikionana naye hutabasamu na kunifurahia.

--------------
Sasa kama mnavyojua katika harakati za kukomaza undugu nikatest zali la kuomba "Bumunda" kwa huyu mtoto mzuri.

Wakati naongea naye wala hakuonesha kukubali wala kukataa,
Nikampandia on WhatsApp ili nirekebishe korongo-
Mtoto anachomoa!
------

Sasa hatima yake nimeshangaa kubaini kuwa kaenda kusema kwao juu ya movements zangu zote za kumwomba "Bumunda"!!!

Na yule brother wake kanitumia text iliyonichokesha sana.
---
HIVI KAMA HUYU BINTI HATAKI KUNIPA "BUMUNDA" SI ANGENIAMBIA TU??

ND'O KAENDA KUNISEMEA KISA KUOMBA "BUMUNDA"?

HIVI NI KWELI KUOMBA " BUMUNDA" TU ND'O KUNAFANYA ANIHARIBIE CONNECTION YA KIBIASHARA NA KAKA YAKE KWELI??

YAANI "BUMUNDA" TU ND'O INIHARIBIE MIPANGO MIMI KABISA??

YAANI MIMI?!?!

NIMESIKITIKA SANA!!!

 
Kaza
Amkia kwake asubuhi jioni
Mpigie
Msumbue
Msumbue kwelikweli
Kama umemenda kweli
Atakuja kubali lazima
 
Ujinga wako tena una Bahati badala ya kukomaa upate shavu unaanza kukomalia BUMUNDA!!
Brother kaona utahamia hata kwa Mke wake maana ni tabia yako!!
Kingine hyo shombe anaweza kuwa Mali yake!
 
Kaza
Amkia kwake asubuhi jioni
Mpigie
Msumbue
Msumbue kwelikweli
Kama umemenda kweli
Atakuja kubali lazima

MKUU,

HUONI HAPO MISHE ZISHAHARIBIKA ALIVYOENDA KUSEMA KILA KITU KWAO?!!
 
Acha nae na waache wauze electronic zao za China. Kwa upande mwingine iwe changamoto kwako, usihame hapo kitaa mpaka uwaprove wrong.
 
Mkuu mwanzoni We ulitaka connection au "BUMUNDA"?? Mbn ulichanganya ugoro na bange asee.
 
Ujinga wako tena una Bahati badala ya kukomaa upate shavu unaanza kukomalia BUMUNDA!!
Brother kaona utahamia hata kwa Mke wake maana ni tabia yako!!
Kingine hyo shombe anaweza kuwa Mali yake!

MKUU,

KWA TIMING ZANGU ZIKUDHANI KAMA ANGEWEZA KUSEMA KWAO KIPENGELE CHA KUOMBWA "BUMUNDA".
 
Kilichokuharibia ni tamaa zako...

Ungengoja michongo yako ikae poa... Ujiweze kwanza alafu ndiyo ujilipue kwa binti...


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom