Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,643
- 4,182
Nimesikitishwa sana na kitendo alichonifanyia jirani yetu.
Huyu binti anafanya kazi ya kuuza vifaa vya electronic kwa bei ya jumla ambavyo kaka yake huwa anaviingiza nchini kutoka huko Asia.
Huyo kaka yake ni mtu anayeheshimika sana hapa kitaa,
Kwani ni mtu serious na ana exposure kubwa sana kibiashara za kuvuka mipaka ya nchi-
Ingawa sijamzoea, hata mimi nikashawishika kwenda kumwomba msaada fulani kuhusu trip za China, Dubai na Thailand,
Akaniambia,
"Usihofu mdogo wangu nitakusaidia,
Na mipango yako itakaa sawa."
Akanipa kazi ya kutafuta documents fulani,
Na akani_connect na rafiki yake ambaye anafanya biashara ambayo ni ya plan yangu.
------
Kiukweli huyu binti ni shombeshombe fulani matata na amejazia wezere lenye kiki ya MAANA!
Yaani ni balaa!!!
Sasa katika mishemishe za hapa na pale nikawa nimeshamzoea japo kwa salamu tu,
Na kwa kuwa mara kadhaa aliniona nikienda kwao kuomba ushauri wa mambo yangu fulani kwa yule kaka yake-
Hivyo mara nyingi nikionana naye hutabasamu na kunifurahia.
--------------
Sasa kama mnavyojua katika harakati za kukomaza undugu nikatest zali la kuomba "Bumunda" kwa huyu mtoto mzuri.
Wakati naongea naye wala hakuonesha kukubali wala kukataa,
Nikampandia on WhatsApp ili nirekebishe korongo-
Mtoto anachomoa!
------
Sasa hatima yake nimeshangaa kubaini kuwa kaenda kusema kwao juu ya movements zangu zote za kumwomba "Bumunda"!!!
Na yule brother wake kanitumia text iliyonichokesha sana.
---
HIVI KAMA HUYU BINTI HATAKI KUNIPA "BUMUNDA" SI ANGENIAMBIA TU??
ND'O KAENDA KUNISEMEA KISA KUOMBA "BUMUNDA"?
HIVI NI KWELI KUOMBA " BUMUNDA" TU ND'O KUNAFANYA ANIHARIBIE CONNECTION YA KIBIASHARA NA KAKA YAKE KWELI??
YAANI "BUMUNDA" TU ND'O INIHARIBIE MIPANGO MIMI KABISA??
YAANI MIMI?!?!
NIMESIKITIKA SANA!!!



Huyu binti anafanya kazi ya kuuza vifaa vya electronic kwa bei ya jumla ambavyo kaka yake huwa anaviingiza nchini kutoka huko Asia.
Huyo kaka yake ni mtu anayeheshimika sana hapa kitaa,
Kwani ni mtu serious na ana exposure kubwa sana kibiashara za kuvuka mipaka ya nchi-
Ingawa sijamzoea, hata mimi nikashawishika kwenda kumwomba msaada fulani kuhusu trip za China, Dubai na Thailand,
Akaniambia,
"Usihofu mdogo wangu nitakusaidia,
Na mipango yako itakaa sawa."
Akanipa kazi ya kutafuta documents fulani,
Na akani_connect na rafiki yake ambaye anafanya biashara ambayo ni ya plan yangu.
------
Kiukweli huyu binti ni shombeshombe fulani matata na amejazia wezere lenye kiki ya MAANA!
Yaani ni balaa!!!
Sasa katika mishemishe za hapa na pale nikawa nimeshamzoea japo kwa salamu tu,
Na kwa kuwa mara kadhaa aliniona nikienda kwao kuomba ushauri wa mambo yangu fulani kwa yule kaka yake-
Hivyo mara nyingi nikionana naye hutabasamu na kunifurahia.
--------------
Sasa kama mnavyojua katika harakati za kukomaza undugu nikatest zali la kuomba "Bumunda" kwa huyu mtoto mzuri.
Wakati naongea naye wala hakuonesha kukubali wala kukataa,
Nikampandia on WhatsApp ili nirekebishe korongo-
Mtoto anachomoa!
------
Sasa hatima yake nimeshangaa kubaini kuwa kaenda kusema kwao juu ya movements zangu zote za kumwomba "Bumunda"!!!
Na yule brother wake kanitumia text iliyonichokesha sana.
---
HIVI KAMA HUYU BINTI HATAKI KUNIPA "BUMUNDA" SI ANGENIAMBIA TU??
ND'O KAENDA KUNISEMEA KISA KUOMBA "BUMUNDA"?
HIVI NI KWELI KUOMBA " BUMUNDA" TU ND'O KUNAFANYA ANIHARIBIE CONNECTION YA KIBIASHARA NA KAKA YAKE KWELI??
YAANI "BUMUNDA" TU ND'O INIHARIBIE MIPANGO MIMI KABISA??
YAANI MIMI?!?!
NIMESIKITIKA SANA!!!


