nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 649
eti ni mbunge wa viti maalumu anayewakilisha walemavu?
Tupo serious kweli?
Huyu ni mlemavu wa nn mbona kuna walemavu wa aina nyingi hatuoni wakiteuliwa mnateua mtu mzima na viungo vyake eti anawakilisha walemavu, Mungu awalaani!!!!
Tupo serious kweli?
Huyu ni mlemavu wa nn mbona kuna walemavu wa aina nyingi hatuoni wakiteuliwa mnateua mtu mzima na viungo vyake eti anawakilisha walemavu, Mungu awalaani!!!!