Amerudi Analia ila walishamuoza

any way mapenzi upofu ndoa yataka macho .. mwambie afungue macho atunze ndoa yake
 
daah huu ni ushauri brother amekushauri kwa uchungu sana na ma experience !!vinginevyo utapigwa 6-1 kama PSG then hautasonga mbele kimaisha
 
Jamani!!! Ivi bado watu wanalazimishwa kuolewa?
Mkuu!!! Kama anakuoenda aachane na mume wake ndo uingie wewe. Usiwe mchepuko tu.
 
Madomo zege mnashida sana...tatizo lako ni haujui namna ya kuanzisha mahusiano mapya na ndio maana unakomaa tu na huyo huyo demu wako wa zamani haijalishi ni risk kiasi gani...
 
Hivi unatamani kuoteshwa maziwa na nani hii ? Bas chukua mke wa mtu na jamaa akijua hata demu akiomba talaka jamaa hatomjua demu ndo mkorofi bali ata deal na wewe tu
 
Umesema vyema...kama angekuwa anampenda angekuwa tayari kutengwa na nduguze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…