Amerudi Analia ila walishamuoza

Amerudi Analia ila walishamuoza

any way mapenzi upofu ndoa yataka macho .. mwambie afungue macho atunze ndoa yake
 
Umesoma vzr.. Umepata kazi nzuri.. Ila unataka kuaribu mwishoni kabisa. Haijalishi umesoma vzr kiasi gan au una Kazi nzuri kiasi gani lakini ukikosea ktk kuchagua mpenzi, hivyo vyote ulivyonavyo havina maana yoyote. Ndoa ni mtihani wa mwisho ktk maisha. Na unapaswa kufaulu vzr ili usipate Bashite (Zero) ktk Maisha yako ya Baadae. Huyo binti sio kwamba alilazimishwa kuolewa, ila aliona ww wakati ule ulikuwa bado mwanafunzi kwa hiyo ungempotezea sana muda. Na amerudi tena kwako kwa sababu alivyovitegemea kwa mume wake amevikosa. Anatagemea kupata vitu hivyo kwako na ikiwa hatavikosa tena kwako bhasi ataendelea kuvitafuta kwa wengine. Na ushajiuliza.. Kuwa ndoa yake ingekua yenye mafanikio unafikiri angerud kwako tena? Asingerudi my young brother. Huyo anatafuta Hifadhi kwako wala hakupendi, kama kweli alikuwa anakupenda asingekubali kuolewa na mtu mwengine. Mdogo wangu ww n kijana mdogo, ndoa sio kitu cha mchezo mchezo.. Tuliza akiri fanya maamuzi sahihi. Huyo mpumbavu achana nae
daah huu ni ushauri brother amekushauri kwa uchungu sana na ma experience !!vinginevyo utapigwa 6-1 kama PSG then hautasonga mbele kimaisha
 
Jamani!!! Ivi bado watu wanalazimishwa kuolewa?
Mkuu!!! Kama anakuoenda aachane na mume wake ndo uingie wewe. Usiwe mchepuko tu.
 
Madomo zege mnashida sana...tatizo lako ni haujui namna ya kuanzisha mahusiano mapya na ndio maana unakomaa tu na huyo huyo demu wako wa zamani haijalishi ni risk kiasi gani...
 
Hivi unatamani kuoteshwa maziwa na nani hii ? Bas chukua mke wa mtu na jamaa akijua hata demu akiomba talaka jamaa hatomjua demu ndo mkorofi bali ata deal na wewe tu
 
Acha uzumbukuku wewe...kama angekuwa anakupenda, basi angekuwa tayari kutengwa...alafu pia angekueza toka wakati ule kuwa anakupenda ila hii ndoa ni ya kulazimishwa...mbona anakuja kukueleza leo? Zinduka, huyo mtoto anapenda pesa na alimfuata huyo jamaa sababu ya pesa..full stop
Umesema vyema...kama angekuwa anampenda angekuwa tayari kutengwa na nduguze.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom