yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,379
Habari Wadau na Wanajuiya kwa ujumla wenu
Niliwai leta uzi humu kuwa kuna mdada mzuri kwa mtazamo wangu, nilimpenda sanaaaa nilimuhudumia sanaa kila alichoitaji na ambavyo hakuniomba nilimpa lakini alibadilika akawa na mtuu ambae ni jama yakewa utotoni.
But naona kajileta kwangu mahaba kama yote sms na simu zinamwagika sana sasa nakuwa nashindwa kuelwa nini tatizo au nini kimemkuta au huduma kule hakuna aliniliza sana uyu kenge nawaza nakosa majibu. Sijawai kulipiza ubaya kwa baya.
Je, nimpe nafasi au niendele na mishe zangu za kupiga dudu na kuacha mana yeye ndo alie swababisha?
Nawakaribisha wadau
Niliwai leta uzi humu kuwa kuna mdada mzuri kwa mtazamo wangu, nilimpenda sanaaaa nilimuhudumia sanaa kila alichoitaji na ambavyo hakuniomba nilimpa lakini alibadilika akawa na mtuu ambae ni jama yakewa utotoni.
But naona kajileta kwangu mahaba kama yote sms na simu zinamwagika sana sasa nakuwa nashindwa kuelwa nini tatizo au nini kimemkuta au huduma kule hakuna aliniliza sana uyu kenge nawaza nakosa majibu. Sijawai kulipiza ubaya kwa baya.
Je, nimpe nafasi au niendele na mishe zangu za kupiga dudu na kuacha mana yeye ndo alie swababisha?
Nawakaribisha wadau