American colonialism

...Si rahisi kumshawishi Askari kanzu akaamini kuwa Ghadafi ni mwafrika.Ujinga nao unawafanya baadhi yetu tusione kwamba Libya inakaliwa na binadamu kama sisi...
Eeh bana eh, mbona unanikandia bila sababu. Wapi nimesema Ghadafi sio mwafrika? Najua hapo ushahidi huna!
 
Ami

UNLESS YOU BACK UP YOUR ASSERTIONS WITH TANGIBLE AND REALISTIC EVIDENCE, i CAN ONLY DISMISS YOUR THREAD AS ONE OF THOSE LIBERAL/LEFT LEANING AND UNSUBSTANCIATED CONSPIRACY THEORIES, AU LABDA UNA AGENDA ya SIRI UNAYOIFICHA BETWEEN THE LINES, VINGINEVYO TUELEZE AMERICA WAMECOLONIZE VIPI PAKISTANI, ZAIDI YA UKWELI KWAMBA WAKO HUKO KUTAFUTA MAGAIDI, au tueleze kama una Conflict of Interest na Agenda ya Ugaidi!ambayo moja ya malengo yake ni kuiona America iliyoodhoofika ili kutimiza malengo ya kugaidi ya kuingiza ukoloni wa kidini kupitia alqaeda??!!! Halafu kuna Tatizo gani kama serikali halali ZA Kuwait na QATAR Zimeamua kukaribisha taifa "Rafiki" la MAREKANI KUWEKA MILITARY BASE KWENYE NCHI YAO WEWE MSWAHILI INAKUUMA NINI!!!????

haya ni mojawapo ya madhara ambayo yamefanywa na huu ukoloni mpya, watu kama hawa waliopungukiwa uwezo wa kufikiri na kutambua mambo rahisi kama haya. Huu ni upunguani wa mawazo. watu kama hawa wanatakiwa kuondolewa miongoni mwa G.T.
 
Kuna ukoloni wa kila aina siku hizi kuanzia hiyo Amercan colonialism ulioisema hadi Arab colonialism.
Nakushauri ufuate yafuatayo ili kufanikisha fikra zako:
1. Waeleze wenye Bureau de Changes wasifanye transactions za sarafu ya US Dollar $$
2. Kama una American products nyumbani uzitupe jalalani mfano Dell computers/laptops, Apple/HP computers, iPhones, iPads, Cisco phones etc.
3. Waambie watanzania waache kwenda kuomba visa pale American embassy
4. Vituo vyote vya TV viache kurusha vipindi vya kimarekani kama House, ESPN, CNN, CSI-Miami, NY etc
5. Majumba yote ya sinema yasionyeshe movies za Holywood, waonyeshe picha za kichina, Russia, Middle East etc
6. Watu waache mara moja kunya Coca cola, Fanta, Pepsi, burgers etc
7. Madisco yasipige Hip hop music
8. Fanya juhudi JK aufunge ubalozi wa marekani hapa Tanzania na tusiwe na uhusiano wa aina yoyote na USA
9. Waambie watanzania na wazanzibari wote wlioko US waondoke na kurejea bongo mara moja
10. Acha kutumia internet wala kutuma e-mails usiingie kabisa ktk mitandao kama Yahoo, google, msn etc
Na mengineyo mengi tu


Mzee wakosea sana. Hata kama unajua mtu yupo mtazamo fulani ni vyema ukambadilisha. Waaarbu na wazungu wote wanatulisha ujinga ambao tusipokuwa makini tutakuwa wahanga wa ideology zao. Kwa maoni yangu hayupo aliye sawa na kumutetea eti ni bora.
 
American colonialism on the pretext of preserving human rights is great for the most downtrodden people. Fikiria Gadhafi & family, Sadam Hussein & Sons, Mubarak & Family etc, je ni halali kwa watu kama hao kujifanya wamiliki wa kila kitu katika nchi zao?


Oh Please what are you being paid to advocate for the West? Who has enslaved and colonised Africans? Who has caused untoward suffering for the people of Africa by imposing their puppets who ensures that the West continues to milk Africa?

While I do not advocate the change from one master to another, I think it is time that Africans choose for themselves who they will deal with. At least the Chinese don't try to impose their values on others on the guise of democracy (democrazy).

The West shoves their superiority complex on you and then throw some crumbs at you in the name of green card so that you can come and do their menial work while the likes of you celebrate for receiving a token of what has been stolen from you.

I wish you were like Gaddafi who was advocating for the liberation of Africa from the shakles of imperialism. And now he is an enemy and we all like sheep buy the accusation leveled against him, because we are so dependant on what we are told instead of seeking the truth for ourselves.

Honestly your arguements are so naive as pertains to the West that I wonder where you have been.
 
Ami

UNLESS YOU BACK UP YOUR ASSERTIONS WITH TANGIBLE AND REALISTIC EVIDENCE, i CAN ONLY DISMISS YOUR THREAD AS ONE OF THOSE LIBERAL/LEFT LEANING AND UNSUBSTANCIATED CONSPIRACY THEORIES, AU LABDA UNA AGENDA ya SIRI UNAYOIFICHA BETWEEN THE LINES, VINGINEVYO TUELEZE AMERICA WAMECOLONIZE VIPI PAKISTANI, ZAIDI YA UKWELI KWAMBA WAKO HUKO KUTAFUTA MAGAIDI, au tueleze kama una Conflict of Interest na Agenda ya Ugaidi!ambayo moja ya malengo yake ni kuiona America iliyoodhoofika ili kutimiza malengo ya kugaidi ya kuingiza ukoloni wa kidini kupitia alqaeda??!!! Halafu kuna Tatizo gani kama serikali halali ZA Kuwait na QATAR Zimeamua kukaribisha taifa "Rafiki" la MAREKANI KUWEKA MILITARY BASE KWENYE NCHI YAO WEWE MSWAHILI INAKUUMA NINI!!!????
duu! kumbe mazuzu bado wapo! kazi kwelikweli!!
 
Back
Top Bottom