Kuna ukoloni wa kila aina siku hizi kuanzia hiyo Amercan colonialism ulioisema hadi Arab colonialism.
Nakushauri ufuate yafuatayo ili kufanikisha fikra zako:
1. Waeleze wenye Bureau de Changes wasifanye transactions za sarafu ya US Dollar $$
2. Kama una American products nyumbani uzitupe jalalani mfano Dell computers/laptops, Apple/HP computers, iPhones, iPads, Cisco phones etc.
3. Waambie watanzania waache kwenda kuomba visa pale American embassy
4. Vituo vyote vya TV viache kurusha vipindi vya kimarekani kama House, ESPN, CNN, CSI-Miami, NY etc
5. Majumba yote ya sinema yasionyeshe movies za Holywood, waonyeshe picha za kichina, Russia, Middle East etc
6. Watu waache mara moja kunya Coca cola, Fanta, Pepsi, burgers etc
7. Madisco yasipige Hip hop music
8. Fanya juhudi JK aufunge ubalozi wa marekani hapa Tanzania na tusiwe na uhusiano wa aina yoyote na USA
9. Waambie watanzania na wazanzibari wote wlioko US waondoke na kurejea bongo mara moja
10. Acha kutumia internet wala kutuma e-mails usiingie kabisa ktk mitandao kama Yahoo, google, msn etc
Na mengineyo mengi tu