Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,107
- 10,803
https://www.jamiiforums.com/news/middleeast/2011/08/201182233227470562.htmlUkoloni mpya umeingia duniani ambapo taifa lenye nguvu za kijeshi na linalopungukiwa nguvu za kiuchumi linazidi kutanua makucha yake.
Tayari wana makoloni katika central Asia ambayo ni Afghanistan na Pakistan.Kwa upande wa mashariki ya kati wamekuwa na vikoloni viwili kwa muda ambavyo ni Kuwait na Qattar huku ikijiimarisha kwenye koloni lake jipya la Iraq.
Kwa Afrika wamechagua koloni lenye utajiri mkubwa wa mafuta ambalo ni Libya.Kupitia Libya inatarajiwa nguvu kubwa itapatikana kuzitawala nchi zote za Afrika na mashariki ya kati.
Tofauti na ukoloni mkongwe ambapo udhaifu wa mababu uliwezesha kutawaliwa kirahisi kupitia hadaa kama za kuoneshwa sura yake mwenyewe mtu kwenye kioo.Ukoloni wa sasa unatumia teknolojia ya habari na silaha za maangamizi kuwatisha na kuwauwa wababe hata kama wana elimu na teknolojia kuliko mababu wa enzi zile.Kwa upande mwengine mpira wa miguu na sinema vimekuwa viota madhubuti vya kuzalisha mazuzu yanayounga mkono ukoloni huu mpya kama wanavyoonekana maeneo mbali mbali Afrika na mashariki ya kati. https://www.jamiiforums.com/indepth/inpictures/2011/08/20118221153503546.html http://english.aljazeera.net/indepth/spotlight/libya/ https://www.jamiiforums.com/news/middleeast/2011/08/201182233227470562.html
https://www.jamiiforums.com/news/middleeast/2011/08/201182233227470562.html
Tayari wana makoloni katika central Asia ambayo ni Afghanistan na Pakistan.Kwa upande wa mashariki ya kati wamekuwa na vikoloni viwili kwa muda ambavyo ni Kuwait na Qattar huku ikijiimarisha kwenye koloni lake jipya la Iraq.
Kwa Afrika wamechagua koloni lenye utajiri mkubwa wa mafuta ambalo ni Libya.Kupitia Libya inatarajiwa nguvu kubwa itapatikana kuzitawala nchi zote za Afrika na mashariki ya kati.
Tofauti na ukoloni mkongwe ambapo udhaifu wa mababu uliwezesha kutawaliwa kirahisi kupitia hadaa kama za kuoneshwa sura yake mwenyewe mtu kwenye kioo.Ukoloni wa sasa unatumia teknolojia ya habari na silaha za maangamizi kuwatisha na kuwauwa wababe hata kama wana elimu na teknolojia kuliko mababu wa enzi zile.Kwa upande mwengine mpira wa miguu na sinema vimekuwa viota madhubuti vya kuzalisha mazuzu yanayounga mkono ukoloni huu mpya kama wanavyoonekana maeneo mbali mbali Afrika na mashariki ya kati. https://www.jamiiforums.com/indepth/inpictures/2011/08/20118221153503546.html http://english.aljazeera.net/indepth/spotlight/libya/ https://www.jamiiforums.com/news/middleeast/2011/08/201182233227470562.html
https://www.jamiiforums.com/news/middleeast/2011/08/201182233227470562.html