Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,531
- 1,566
sahizi nadhani anapiga penati mkuu
Na kipa kaondoka golini ha ha ha!
sahizi nadhani anapiga penati mkuu
Yaani hawa jamaa wanashangaza sana. Utafikiri hao mademu wana hati miliki nao.
Pumbaf sana..
mimi mtu akinisaliti na nikajua
basi nitarudianaa nae kwa mawili
1.KUMUACHA BILA YEYE KUJUA
2,KUMULIPIZA
ila mara zote sirudiii mtu aliefanya kosa la uzinzi ni bora AWE BROKE,AKAIBA ELA AKATUMIA AU VYOVYOTE VILE yaani bora tabia chafu yoyote ile ika sio hiyo maana sisamei
Tungemsukuma nnya kabla ya kumwacha.:becky:Mapenzi mabaya sana pale ambapo wewe unataka hold on mwenzako anaachia. Ni kama watu wawili wanaovuta rubber band atakaeachia atamuumiza aliyeendelea kushikilia. Nilikua na mpenzi wangu tulidumu miez 8 akanipiga chini, baada ya miezi 4 tukarudiana baada ya kudai kuomba msamaha.
Baada ya miez 5 kaonyesha hataki tena kuendelea nami. Usaliti wa mwanzo ndio uliniuma sana, huu wa pili sijasikia maumiv hata kidogo coz mimi pia nilikua mguu ndani/nje. Never trust a woman.Hii ya sasa imechangiwa na mimi kuhamishwa kikazi huku kanda ya ziwa na yey ebado anasoma chuo makao makuu ya serikali, dodoma. Hapo mwanzo tulikua wote Dom lakini likizo tulikua tunaenda wote Dar.
Kuna kajamaa kanakula mzigo, juz ju mi nilienda Dom akanipa k katika hali isiyo kawaida. Kupepeleza vizuri ndio nikagundua hivyo. Nilikua nimebanwa na majukumu yaliyonipeleka sikupata muda wa kusort. Niliporudi nikalianzisha naye akashindwa kukataa coz nna evidence za kutosha. Wanawake watu wabaya sana hivi unakuwaje na mabwana wawili? Mi nimemwacha tu in peace wenzangu mngefanyaje?
Kama dem si bikra jua ni wa ntu. Hivyo kama hutaki kuiba dem wa mtu sijui utampata wapi au jela miaka 30 ikusubiri. Tunanyang'anyana tu"wakikumegea dem wako, nawe tafuta mnyonge ummegee, haipunguzi maumivu ila inarudisha hadhi ya kiume" Mwana FA[/QUOTE
Kuiba dem wa mtu sitaki
Kwa mtaji huu utawaacha wangapi kabla ya kustaafu?mimi mtu akinisaliti na nikajua
basi nitarudianaa nae kwa mawili
1.KUMUACHA BILA YEYE KUJUA
2,KUMULIPIZA
ila mara zote sirudiii mtu aliefanya kosa la uzinzi ni bora AWE BROKE,AKAIBA ELA AKATUMIA AU VYOVYOTE VILE yaani bora tabia chafu yoyote ile ika sio hiyo maana sisamei
Masai dada sirudii tena nimekoma
nimesoma thread tatu zote wanaume wanalalamika pole sana mkuu.
ombi langu kama yupo dodoma na umeamua kumwacha naomba namba yake nikulipie kisasi mimi pia nipo dodoma na kama ni mwanafunzi hawezi chomoa ofa yangu.
nimesoma thread tatu zote wanaume wanalalamika pole sana mkuu.
ombi langu kama yupo dodoma na umeamua kumwacha naomba namba yake nikulipie kisasi mimi pia nipo dodoma na kama ni mwanafunzi hawezi chomoa ofa yangu.
Mapenzi mabaya sana pale ambapo wewe unataka hold on mwenzako anaachia. Ni kama watu wawili wanaovuta rubber band atakaeachia atamuumiza aliyeendelea kushikilia. Nilikua na mpenzi wangu tulidumu miez 8 akanipiga chini, baada ya miezi 4 tukarudiana baada ya kudai kuomba msamaha.
Baada ya miez 5 kaonyesha hataki tena kuendelea nami. Usaliti wa mwanzo ndio uliniuma sana, huu wa pili sijasikia maumiv hata kidogo coz mimi pia nilikua mguu ndani/nje. Never trust a woman.Hii ya sasa imechangiwa na mimi kuhamishwa kikazi huku kanda ya ziwa na yey ebado anasoma chuo makao makuu ya serikali, dodoma. Hapo mwanzo tulikua wote Dom lakini likizo tulikua tunaenda wote Dar.
Kuna kajamaa kanakula mzigo, juz ju mi nilienda Dom akanipa k katika hali isiyo kawaida. Kupepeleza vizuri ndio nikagundua hivyo. Nilikua nimebanwa na majukumu yaliyonipeleka sikupata muda wa kusort. Niliporudi nikalianzisha naye akashindwa kukataa coz nna evidence za kutosha. Wanawake watu wabaya sana hivi unakuwaje na mabwana wawili? Mi nimemwacha tu in peace wenzangu mngefanyaje?
nimesoma thread tatu zote wanaume wanalalamika pole sana mkuu.
ombi langu kama yupo dodoma na umeamua kumwacha naomba namba yake nikulipie kisasi mimi pia nipo dodoma na kama ni mwanafunzi hawezi chomoa ofa yangu.
Yuko na penzi jipya hilo utambue kwa kutikisa hiyo ndoa inabidi ujipange. Ni PM (Natania)
Mkuu umenenaa mm leoo hii nimemfuwaa wanguu akishhukuriwaa na mwanaumee mwingie SMS inasemaa hivii"baby asante Sana'a Leo kwa kunipaa kotekote yaan nime enjoy Sana'a na hyoo lakii nilyokupaa n ndogo nitakuongezea kesho nyingine baby Wang""dem nayee akijibu " poaa baby wangu nitakupaa jinci utakavyoo"daaaaa kiukwelii nimeshindwaa cha kumfanyaa huyuu dem nimemtimuaa tu lkn anavyonisumbuaa mpk nataman kubadilishaa nambaa
Masai dada eti nimpe namba shelat? Cybercrime je?
CC: Masai dada
kwa lile saga lako ungebadilisha tu namba mkuu, vinginevyo atakusumbua kila wakati kila siku
Huyo mchepuko usifikiri ana future naye, alikuwa anamlaa tu bila malengo, na mwanamke kilichomponza ni tamaa ya kuhongwa. So ataendelea kukusumbua mana anajua kule hana nafasi zaidi ya kuliwa tu kwa malipo