Amenisaliti mara ya pili

Amenisaliti mara ya pili

Sukari Yenu

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2014
Posts
1,698
Reaction score
1,260
Mapenzi mabaya sana pale ambapo wewe unataka hold on mwenzako anaachia. Ni kama watu wawili wanaovuta rubber band atakaeachia atamuumiza aliyeendelea kushikilia. Nilikua na mpenzi wangu tulidumu miez 8 akanipiga chini, baada ya miezi 4 tukarudiana baada ya kudai kuomba msamaha.

Baada ya miez 5 kaonyesha hataki tena kuendelea nami. Usaliti wa mwanzo ndio uliniuma sana, huu wa pili sijasikia maumiv hata kidogo coz mimi pia nilikua mguu ndani/nje. Never trust a woman.Hii ya sasa imechangiwa na mimi kuhamishwa kikazi huku kanda ya ziwa na yey ebado anasoma chuo makao makuu ya serikali, dodoma. Hapo mwanzo tulikua wote Dom lakini likizo tulikua tunaenda wote Dar.

Kuna kajamaa kanakula mzigo, juz ju mi nilienda Dom akanipa k katika hali isiyo kawaida. Kupepeleza vizuri ndio nikagundua hivyo. Nilikua nimebanwa na majukumu yaliyonipeleka sikupata muda wa kusort. Niliporudi nikalianzisha naye akashindwa kukataa coz nna evidence za kutosha. Wanawake watu wabaya sana hivi unakuwaje na mabwana wawili? Mi nimemwacha tu in peace wenzangu mngefanyaje?
 
Mimi nachukia sana kuona mwanume mwenzangu annalialia tena kwenye mitandao, halafu huyo unaemlilia hata sio mkeo na wala sio mpenzi ambae tunaweza sema tayari mshandika history, mzee chapa lapa songaaa
 
mara ya tatu atakuletea Ukimwi endelea tu kuvumilia
 
Sukari Yenu

ulifanya faulo kumrudia! kwani alikuwa kabadilika nini na mwanzo? kumrudia mpenzi aliyekuumiza mwanzo ni sawa na kusoma novel uliyokwisha isoma na unajua stoty yake itaishaje! sio kila mwanamke anastahili kupendwa! wengine mapaka hata umpe kilo ya nyama akiona samaki atakukimbia!
 
Last edited by a moderator:
Mimi nachukia sana kuona mwanume mwenzangu annalialia tena kwenye mitandao, halafu huyo unaemlilia hata sio mkeo na wala sio mpenzi ambae tunaweza sema tayari mshandika history, mzee chapa lapa songaaa

Tuna historia mkuu na kama mambo yasipomuendea vizuri huenda tukakumbukana sana. Vtu vngne ni siri yy aluadmit kuwa mm ndo chanzo
 
ulifanya faulo kumrudia! kwani alikuwa kabadilika nini na mwanzo? kumrudia mpenzi aliyekuumiza mwanzo ni sawa na kusoma novel uliyokwisha isoma na unajua stoty yake itaishaje! sio kila mwanamke anastahili kupendwa! wengine mapaka hata umpe kilo ya nyama akiona samaki atakukimbia!

U got a word.
 
Wanaume wanavyoongoza kwa kuchepuka ni balaa, yaan m'ume akichepuka ni habari ila m'mke akichepuka ndio hbr ya kusisimua zaid.. Maisha yashaharibika haya shika anaeshikamana, asieweza achana nae.

maana huo utakuwa mchezo ss, wa kumuacha na kumrudia. Na kuhusu m'mke kuwa na wanaume zaid ya wawil c vya kushangaa cku hz, we unasema wawil watu wana ht nane huko na kuendelea!! We omba Mungu akupe yule mwenye hofu ya Mungu uachane na hayo makulubembe ya mji
 
Endelea tu kuwa nae hadi pale mtakapozikwa na kilo mbili
 
ulifanya faulo kumrudia! kwani alikuwa kabadilika nini na mwanzo? kumrudia mpenzi aliyekuumiza mwanzo ni sawa na kusoma novel uliyokwisha isoma na unajua stoty yake itaishaje! sio kila mwanamke anastahili kupendwa! wengine mapaka hata umpe kilo ya nyama akiona samaki atakukimbia!

Mkuu umenenaa mm leoo hii nimemfuwaa wanguu akishhukuriwaa na mwanaumee mwingie SMS inasemaa hivii"baby asante Sana'a Leo kwa kunipaa kotekote yaan nime enjoy Sana'a na hyoo lakii nilyokupaa n ndogo nitakuongezea kesho nyingine baby Wang""dem nayee akijibu " poaa baby wangu nitakupaa jinci utakavyoo"daaaaa kiukwelii nimeshindwaa cha kumfanyaa huyuu dem nimemtimuaa tu lkn anavyonisumbuaa mpk nataman kubadilishaa nambaa
 
ulifanya faulo kumrudia! kwani alikuwa kabadilika nini na mwanzo? kumrudia mpenzi aliyekuumiza mwanzo ni sawa na kusoma novel uliyokwisha isoma na unajua stoty yake itaishaje! sio kila mwanamke anastahili kupendwa! wengine mapaka hata umpe kilo ya nyama akiona samaki atakukimbia!

sahizi nadhani anapiga penati mkuu
 
Mimi nachukia sana kuona mwanume mwenzangu annalialia tena kwenye mitandao, halafu huyo unaemlilia hata sio mkeo na wala sio mpenzi ambae tunaweza sema tayari mshandika history, mzee chapa lapa songaaa

nakupa like mkuu. wanaume wamekuwa siyo watu wa maamuzi magumu. ukiangalia mada nyingi ndiyo wanaolalamika, hiyo inaonyesha ni jinsi gani wanawake walivyowajasiri wa kutatua matatizo kupitia bongo zao.
 
Usiseme "wanawake watu wabaya" sema mpenzi wako ni mtu mbaya

Anyway pole sana
 
Mimi nachukia sana kuona mwanume mwenzangu annalialia tena kwenye mitandao, halafu huyo unaemlilia hata sio mkeo na wala sio mpenzi ambae tunaweza sema tayari mshandika history, mzee chapa lapa songaaa
Yaani hawa jamaa wanashangaza sana. Utafikiri hao mademu wana hati miliki nao.

Pumbaf sana..
 
Mkuu umenenaa mm leoo hii nimemfuwaa wanguu akishhukuriwaa na mwanaumee mwingie SMS inasemaa hivii"baby asante Sana'a Leo kwa kunipaa kotekote yaan nime enjoy Sana'a na hyoo lakii nilyokupaa n ndogo nitakuongezea kesho nyingine baby Wang""dem nayee akijibu " poaa baby wangu nitakupaa jinci utakavyoo"daaaaa kiukwelii nimeshindwaa cha kumfanyaa huyuu dem nimemtimuaa tu lkn anavyonisumbuaa mpk nataman kubadilishaa nambaa

Yaani usimrudie hata kwa bahati mbaya! Close the chapter halafu taratibu msahau search mwingine atakayeziba ma gap ya msaliti!
 
Back
Top Bottom