boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,103
- 1,382
Ni week kadhaa sasa zimepita tangu nitimize sharti lake moja lililobaki ili niingie rasmi kwenye mahusiano ambayo nimeyapigania karibia mwaka sasa, tangu aje jiji dsm kutokea mkoa M, alifikia kwa dada baadae akapata kazi shule flani ya magar ya njano hapa mjini, mda huo wote nilikuwa na nawasiliana nae na nilishamwelezea hisia zangu, akaniambia hayuko kuingia kwenye mawasilaino nikajikuta amenifanya friend for benefit ila sikujali hilo kwa kuamini kuwa siku moja hapa ndipo nitapumzisha moyo wangu kwa sababu nilashaamua na safari yetu ya kuanzisha familia nitaanza naye huyu bint
Siku zikapita na bado tunawasiliana mambo mengi tukishirikishana hatimaye siku moja akaniiita dinner mahali flani wanapouzaga yule mdudu anayepigwa vita, wakati tunasubiri yule mdudu aivishwe kwa sababu wote hatutumii alcohol, tukiendela na soft drink nikapokea taarifa ambazo usiku ule niliuona wenye faraja sana kwangu, aliniambia J nimekaa nimefikilia nimeona ukitaka tuingie kwenye relationship twende tukapime kwanza, nikamwambia usijali, tukapanga siku ya kwenda kupima ile siku ilipofika akaniambia anadharula, mimi nikasema siyo kesi kwa sababu yeye anawasiwasi na mimi wacha niende mwenye,
japo ki ukweli nikawa nawaza ya nyuma kirho kinaniambia nipotezee ila nikimuwaza huyu mtoto nikajisemea moyoni liwalo na liwe, nikazama zangu hosp moja hivi mjini nikaongea na doctor kuwa nimekuja kuchek HiV wakaniuliza maswali yao fresh nikacheeki na majibu yakatoka, Furaha ikaongezeka kwa sababu yametoka fresh, nikampigia simu nikamweleza akaniambia sawa subiri tukacheki wote next time,
wakuu tangu nimweleze majibu na amekata kabisa mawasiliano, message hajibu tena hata simu hapokei
wazoefu niambie nimekuwa na kiherehere cha kupima hivyo ka mind or
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zikapita na bado tunawasiliana mambo mengi tukishirikishana hatimaye siku moja akaniiita dinner mahali flani wanapouzaga yule mdudu anayepigwa vita, wakati tunasubiri yule mdudu aivishwe kwa sababu wote hatutumii alcohol, tukiendela na soft drink nikapokea taarifa ambazo usiku ule niliuona wenye faraja sana kwangu, aliniambia J nimekaa nimefikilia nimeona ukitaka tuingie kwenye relationship twende tukapime kwanza, nikamwambia usijali, tukapanga siku ya kwenda kupima ile siku ilipofika akaniambia anadharula, mimi nikasema siyo kesi kwa sababu yeye anawasiwasi na mimi wacha niende mwenye,
japo ki ukweli nikawa nawaza ya nyuma kirho kinaniambia nipotezee ila nikimuwaza huyu mtoto nikajisemea moyoni liwalo na liwe, nikazama zangu hosp moja hivi mjini nikaongea na doctor kuwa nimekuja kuchek HiV wakaniuliza maswali yao fresh nikacheeki na majibu yakatoka, Furaha ikaongezeka kwa sababu yametoka fresh, nikampigia simu nikamweleza akaniambia sawa subiri tukacheki wote next time,
wakuu tangu nimweleze majibu na amekata kabisa mawasiliano, message hajibu tena hata simu hapokei
wazoefu niambie nimekuwa na kiherehere cha kupima hivyo ka mind or
Sent using Jamii Forums mobile app