Kweli kwenye miti hakunaga wajenzi kabisa.Aisee, hapa hotelini kuna mdada kaacha sidiria chumbani kwangu ngoja nikaitupe.
Sio kwa mwanaume wa kibongoNitakusamehe mpenzi, na hiyo itanifanya niamini kwamba unacheza salama na sote tupo salama. Mwahhh
Dah...usijichanganye...Kuna kutia ...na kutiwa....ni makosa tofauti [emoji41]Wewe ukimfumania au kukuta comdom used nyumbani kwa mpenzi wako utamsamehe?
Mkuu, mimi na ngozi yangu niliwahi kukutana na makubwa zaidi ya condoms, na hakika nilisameheSio kwa mwanaume wa kibongo
Comrade, naomba niseme ahsante kwa ufafanuzi mujarab kabisa...Dah...usijichanganye...Kuna kutia ...na kutiwa....ni makosa tofauti [emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe WANAUME bado tungalipo aisee nilidhani niko peke yangu...mana vichalii vya siku hizi comments zao tu huwa zinanipa mashakaDah...usijichanganye...Kuna kutia ...na kutiwa....ni makosa tofauti [emoji41]
GoodMkuu, mimi na ngozi yangu niliwahi kukutana na makubwa zaidi ya condoms, na hakika nilisamehe
Endelea kukaririDah...usijichanganye...Kuna kutia ...na kutiwa....ni makosa tofauti [emoji41]
Karibu tipate Whatever-Vant....[emoji28][emoji28][emoji28]Good
Mkuu, huyo mpenzi wako hakuwa na upendo kwako tena. Yaani namaanisha alikuwa hakupendi tena, na kwa maelezo yako nalazimika kuamininkwamba alikuwa anakusuribia apate tu sababu ili akuache.
Kwasasa haupaswi kujuta kabisa kwasababu hili kosa ni dogo sana nikilinganisha na makosa ambayo nimewahi kuyafanya mimi.
Ebu usijilaumu wala kujutia, amini kwamba muda wa yeye kukuacha ulikuwa umefika na wala usijaribu kujutia kwamba umeachika kizembe.
Kwa leo naomba niishie hapa
Methali 25:24Kama wako alikuvumilia haimaanishi kuwa kila mwanamke huvumilia furushi. Hivyo msimpotoshe mwenzenu.
Na pia uvumilivu wa kupita kiasi ni upumbavu, binafsi siwezi nikaishi na mwanamke mvumilivu zaidi, bali ninaamini katika upendo wa kweli.Kama wako alikuvumilia haimaanishi kuwa kila mwanamke huvumilia furushi. Hivyo msimpotoshe mwenzenu.
Ungejitetea kuwa mlimuazima mshkaji geto apigie demu wake sio aliyeiacha na unakomaa na msimamo wako then unamsuka msela kitaa unamuuzia msalaHabari za kazi wakuu,
kwanza napenda kutoa uzi huu nikiwa na majonzi makubwa kweli, kwani mahusiano yangu yamevunjika kizembe sana japo kuna wakati najipa moyo kuwa ni ujasiri... Mpenzi wangu aliaamua kuondoka kwao baada ya kukuta Kondomu iliyotumika chumbani kwangu. Huwa anasafiri mara kwa mara ndipo nipo shetani aliponivuta mkono nikaomba game kwa dada mmoja ambaye ni mpangaji mwenzetu na hii ndio chanzo baada ya kuisahau kuitupa, Lakini bado najiuliza kwanini asingenisamehe na kunipongeza kwamba nimetumia kinga? itakuwaje akipata mchepukaji ambae hatumii kinga?
Wito wangu ni kwamba bado nampenda na ndio maana nilikumbuka kinga hivyo kama ananisikia arudi nyumbani nipo tayari kuhama ile nyumba.
Na pia uvumilivu wa kupita kiasi ni upumbavu, binafsi siwezi nikaishi na mwanamke mvumilivu zaidi, bali ninaamini katika upendo wa kweli.
Sijawahi kuvumiliwa asilani, naamini ninaishi kwenye upendo.
Na kama wewe unaona ninampotosha pia nisawa, lakini mtazamo wako hauwezi ukabadilisha kile nilicho kiandika ama kukiamini.
Methali 25:24
Hahaha DaahBora umeachwa Malaya mkubwa