Amelipa mahari milioni 4!

prenge

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
218
Reaction score
277
Niko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.

Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.

NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..

Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
 
Kuoa kwa sasa nako ni ujasiriamali
 
Teh teh teeeeh!! Toeni bwana acheni kulia lia.
 
Unalipia "mahali" yote hiyo halafu machine yenyewe labda ni "USED".
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…