Jean piaget
Senior Member
- Mar 15, 2014
- 143
- 33
Hi JF,
Kuna rafiki yangu ameniuliza kwamba mke wake ameanza period tarehe hiyo hapo juu, je ni kati ya tarehe hipi akikutana nae anaweza akapata mimba?
Wana mwaka mzima kwenye ndoa bila mtoto, dr. kawambia hawana tatizo wote.
Watalamu tumsaidie huyu jamaa.
Kuna rafiki yangu ameniuliza kwamba mke wake ameanza period tarehe hiyo hapo juu, je ni kati ya tarehe hipi akikutana nae anaweza akapata mimba?
Wana mwaka mzima kwenye ndoa bila mtoto, dr. kawambia hawana tatizo wote.
Watalamu tumsaidie huyu jamaa.