Ameanza kuniganda baada ya kumlamba kama nyau

Ameanza kuniganda baada ya kumlamba kama nyau

Zero kama zero,, huwa anatokea JF kutupa habari za kuchakata papuchi tu hayo mengine ya mletr mzungu,Urusi kavamia Ukraine, matozo sijui yeye hayamuhusu..Next thread ni mpaka apatr papuchi nyingine maana kashaoa
We jamaa
 
Daah acha tu!...jamaa mjinga sana huyu yaani hapa imebidi mkono nilioshikilia simu niutumie kumkandamiza mandonga asije juu nikaumbuka mbele ya halaiki!.
Acha mandonga afanye yake mkuu
 
Iv hauna picha yake?mpk utueleze hayo wkt wenyew tukiona hyo picha tunaweza kuja na tathmn zetu kuwa ni pisi kali au kazi mbovu
Hiyo ni lugha ya picha nahisi umeshamchora ubongoni kwako
 
Kakuigizia ka secure chips/kuku mixer mishikaki nini hapo... she doesn’t have to pay akija kununua

Demu kakuigizia Oscar performance
inategemea tena na wakati
 
1661528919175.png
 
Wote ni malegend, tulikuwapo hapa since day 1
Aaah wapi huyu Evelyn Salt ni lengend wa muda mrefu, wakati wewe unacheza mchezo wa kibaba baba na kimama mama na mkichezea mchanga tayari yeye slishapevuka kitambo tu😂😂😂

Kwanza ukimuona nafikiri siku hiyo hutalala ni black beuty flani kapanda hewani na hips tamu balaa🤣🤣
 
Back
Top Bottom