Ameandika Jemedari Said Bin Kazumari

Ameandika Jemedari Said Bin Kazumari

political monger senior

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
1,950
Reaction score
6,390
Ameandika Jemedari

YATWAA UBINGWA WA 31 KWA KUIZABUA SIMBA 2-0.

Timu Bora kiwanjani (YANGA) imeshinda ✅
Simba wamezidiwa kuanzia Unyayo hadi Utosi ✅
Marefa wamechezesha kwa KIWANGO cha KIMATAIFA ✅
Yanga SC wamestahili kila walichopata msimu huu, ndiyo TIMU BORA NA IMARA ZAIDI ✅
Simba SC wameshusha thamani ya mchezo wa DABI, wanafungwa kila uchao tena KIRAHISI sana ✅

Simba SC wanapaswa kutafuta wachezaji BORA na Imara zaidi ya walionao, wanaotokea benchi wanakuwa na mchango mdogo mno, ukilinganisha na wale walioingia kwa Yanga, walivyo Yanga ndivyo timu kubwa inayopigania vikombe inapaswa kuwa.

Kwa Simba hii HAIWEZI KUIFANYA CHOCHOTE Yanga hii, sana sana siku watawapiga nyingi kuanzia 6, watapiga kelelee, wataandamana, watasusia mechi, lakini kuifunga Yanga unaihitaji Simba imara kuliko ilivyo sasa.

HONGERA SANA GONGOWAZI mmestahili Ubingwa, timu ya marehemu Mzee SAID KAZUMARI MTIPA. Mwanangu Rayyan amefurahi pia.

Saa mbovu Mda mwingine inasema kweli

Yanga News Champion
 
Kwa mda mrefu Simba ilificha udhaifu wake katika kuwalaumu watu
Kitendo Cha yanga kukomaa na tff na bodi ya ligi kuleta marefa imefanya wakose kichaka Cha kujificha na Sasa wanakabiliana na uhalisia kuwa lazima waimarishe kikosi Chao kifupi yanga walikuwa Bora sana Leo
 
Ameandika Jemedari

YATWAA UBINGWA WA 31 KWA KUIZABUA SIMBA 2-0.

Timu Bora kiwanjani (YANGA) imeshinda ✅
Simba wamezidiwa kuanzia Unyayo hadi Utosi ✅
Marefa wamechezesha kwa KIWANGO cha KIMATAIFA ✅
Yanga SC wamestahili kila walichopata msimu huu, ndiyo TIMU BORA NA IMARA ZAIDI ✅
Simba SC wameshusha thamani ya mchezo wa DABI, wanafungwa kila uchao tena KIRAHISI sana ✅

Simba SC wanapaswa kutafuta wachezaji BORA na Imara zaidi ya walionao, wanaotokea benchi wanakuwa na mchango mdogo mno, ukilinganisha na wale walioingia kwa Yanga, walivyo Yanga ndivyo timu kubwa inayopigania vikombe inapaswa kuwa.

Kwa Simba hii HAIWEZI KUIFANYA CHOCHOTE Yanga hii, sana sana siku watawapiga nyingi kuanzia 6, watapiga kelelee, wataandamana, watasusia mechi, lakini kuifunga Yanga unaihitaji Simba imara kuliko ilivyo sasa.

HONGERA SANA GONGOWAZI mmestahili Ubingwa, timu ya marehemu Mzee SAID KAZUMARI MTIPA. Mwanangu Rayyan amefurahi pia.

Saa mbovu Mda mwingine inasema kweli

Yanga News Champion
Na bado mpaka aombe poo ndiyo tutaacha kuifunga Simba.Hatuna haja ya kusifiwa na huyo mnafki.
 
Marefa wamechezesha kwa KIWANGO cha KIMATAIFA ✅
Moja ya kosa kubwa la TFF ni kuleta refa wa kigeni kwenye mechi kubwa kama hii, marefa wetu hawataaminika kuchezesha mechi za kimataifa pamoja na kuwa na beji za FIfa. Mbeleni timu za ligi zikiwagomea marefa wa ndani TFF watasimama wapi?
 
Kwa mda mrefu Simba ilificha udhaifu wake katika kuwalaumu watu
Kitendo Cha yanga kukomaa na tff na bodi ya ligi kuleta marefa imefanya wakose kichaka Cha kujificha na Sasa wanakabiliana na uhalisia kuwa lazima waimarishe kikosi Chao kifupi yanga walikuwa Bora sana Leo
Huu ni ukweli mchungu ambao mashabiki wa simba inabidi tuupokee, simba hatuna kikosi cha kuifunga yanga, tunafungwa magoli rahisi mno, tuna average players wengi sana.
 
Simba ni timu mbovu sana. Wao walihitaji ushindi ila hadi mapumziko hawajapiga hata shuti wao wanashambuliwa tu. Mimi niliishasema wasipokubali hawana timu watapata tabu mnoo. Yanga wakati wako hovyo walikuwa wanakubali kabisa Simba ni imara na iliwasaidia sana. Leo Simba na Ahmed Ali ni kudanganywa tu kila uchao na kusifia timu.
 
Huu ni ukweli mchungu ambao mashabiki wa simba inabidi tuupokee, simba hatuna kikosi cha kuifunga yanga, tunafungwa magoli rahisi mno, tuna average players wengi sana.
Sio mchungu, ni wa kawaida
 
Ameandika Jemedari

YATWAA UBINGWA WA 31 KWA KUIZABUA SIMBA 2-0.

Timu Bora kiwanjani (YANGA) imeshinda ✅
Simba wamezidiwa kuanzia Unyayo hadi Utosi ✅
Marefa wamechezesha kwa KIWANGO cha KIMATAIFA ✅
Yanga SC wamestahili kila walichopata msimu huu, ndiyo TIMU BORA NA IMARA ZAIDI ✅
Simba SC wameshusha thamani ya mchezo wa DABI, wanafungwa kila uchao tena KIRAHISI sana ✅

Simba SC wanapaswa kutafuta wachezaji BORA na Imara zaidi ya walionao, wanaotokea benchi wanakuwa na mchango mdogo mno, ukilinganisha na wale walioingia kwa Yanga, walivyo Yanga ndivyo timu kubwa inayopigania vikombe inapaswa kuwa.

Kwa Simba hii HAIWEZI KUIFANYA CHOCHOTE Yanga hii, sana sana siku watawapiga nyingi kuanzia 6, watapiga kelelee, wataandamana, watasusia mechi, lakini kuifunga Yanga unaihitaji Simba imara kuliko ilivyo sasa.

HONGERA SANA GONGOWAZI mmestahili Ubingwa, timu ya marehemu Mzee SAID KAZUMARI MTIPA. Mwanangu Rayyan amefurahi pia.

Saa mbovu Mda mwingine inasema kweli

Yanga News Champion
Huyu chawa wa simba huyu

😂😂😂😂😂😂

Tulishasema ipo siku wote wataishangilia Yanga
 
Mimi niliishasema wasipokubali hawana timu watapata tabu mnoo. Yanga wakati wako hovyo walikuwa wanakubali kabisa Simba ni imara na iliwasaidia sana. Leo Simba na Ahmed Ali ni kudanganywa tu kila uchao na kusifia timu.
Mbona kocha alishasema tunajenga timu, wewe unamsikia nani?
 
Huo ndo ukweli, Simba hii ni dhaifu mno hasa kwenye safu ya ushambuliaji na hata ulinzi pia. Kifupi inatakiwa kusajili wachezaji wa viwango kama Yanga
 
Moja ya kosa kubwa la TFF ni kuleta refa wa kigeni kwenye mechi kubwa kama hii, marefa wetu hawataaminika kuchezesha mechi za kimataifa pamoja na kuwa na beji za FIfa. Mbeleni timu za ligi zikiwagomea marefa wa ndani TFF watasimama wapi?
Dabi nyingi Afrika siku hizi wana import marefa, siyo kwasababu wa ndani wana viwango vidogo ila ni kuepusha mgongano wa maslahi. Kumbuka hapa nchini mwanasoka yeyote lazima awe na upande kati ya team hizo mbili lakini pia ni kujenga imani kwa vilabu vyenyewe kuelekea mchezo wao.
 
Manula amefurahi😂😂😃
1750880431094.jpg
 
Back
Top Bottom