Rafiki yangu alinambia jana kuwa anataka kuoa nimsaidie kutafuta mke nikaona ni vyema nitoe taarifa hapa jukwaani ili kama kuna dada yupo tayari kuolewa ani PM aweke namba zake ili wakubaliane.
Rafiki yangu alinambia jana kuwa anataka kuoa nimsaidie kutafuta mke nikaona ni vyema nitoe taarifa hapa jukwaani ili kama kuna dada yupo tayari kuolewa ani PM aweke namba zake ili wakubaliane.
awe mwanachama wa ACT-WAZALENDO
awe mwanachama wa ACT-WAZALENDO
kuolewa siku hizi imekuwa dili eehh.... akaunti yake ya crdb inasoma digits ngapi?
Kuolewa kwa style hii...duu acha nidode tu kuendelea kula ugali wa shikamoo kwetu
Woyooo....ntapataje kadi ya uanachama.