Mabadiliko yepi mnaongelea? Ya kumweka mlutheri madarakani? Funguka.
Hapana tumamuweka muislam Dun
Mabadiliko yepi mnaongelea? Ya kumweka mlutheri madarakani? Funguka.
Mabadiliko yepi mnaongelea? Ya kumweka mlutheri madarakani? Funguka.
Mabadiliko yepi mnaongelea? Ya kumweka mlutheri madarakani? Funguka.
Mabadiliko yepi mnaongelea? Ya kumweka mlutheri madarakani? Funguka.
Mabadiliko yepi mnaongelea? Ya kumweka mlutheri madarakani? Funguka.
Yule kikaragosi mdebwedo nae hajijuwi hajitambuwi, yupo yupo tu. Siku hizi naona anavaa mashati kama ya Lowassa.
Kaambiwa vile vi Kaunda suti vyake vinavyoonesha mpaka nguo ya ndani aviache.
Kwi kwi kwi teh teh teh.
Ushabiki mwingine hadi aibu kuujibu! Watanzania ambao wanaowaza kama wewe ni wapi Bosi? Ninachojua propaganda hizi ni planned na baadhi ya watu wananufaika kwa kueneza haya. Unadhani hao wanaosema watamfuata ENL popote alipo wanapenda chochote UKIWANI huko? Unadhani wanaamini ktk katiba ya wananchi kwa dhati?
Ukiondoa watu wanaotaka ENL awe rais kwa gharama zozote hakuna atakayekwambia yupo tayari nchi itawaliwe hovyo hovyo bila Ilani wala chama kinachoeleweka eti kisa SISI waondoke. Wewe? Tumechanganyikiwa sana kwa tuliyofanyiwa na SISI lkn si wengi sana tulioamua kujizira kwa ushabiki mbumbumbu kama ishara ya kukata tamaa!
Mabadiliko yepi mnaongelea? Ya kumweka mlutheri madarakani? Funguka.
Kitu ambacho C.C.M na watu wao hawafahamu ni kwamba, kwa sasa waTanzania wanachotaka ni mabadiliko tuu, haijalishi ninani ambaye atayaleta, kwaiyo hata kama ni Membe au Wassira angekuwa UKAWA, angeshinda tuu kwasababu watanzania wanachotaka ni kuweka serikali nyingine madarakani, haijalishi ni nani ataiyongoza hiyo serikali. Sasa wao kupoteza muda kumshambulia Lowassa majukwaani ni sawa na bure kwasababu hawajaelewa target ya watanzania ni nini.
My take, serikali sio kama wazazi wako ambao hata kama wakikukose huwezi kuwakataa, bali serikali ni kama nguo, inapo chakaa lazima utanunua nyingine tuu, NO MATTER WHAT!
kwa saa, tunataka kununua nguo nyingine! hii ya sasa imeshachakaa sana mpaka majirani wenzetu wanatushangaa kwa nini bado tunavaa nguo ile, ile kwa nusu karne sasa na wakati imeshachakaa.
Unataka Mroma? Kama ni Mroma Roma Mkatoliki anakutosha.
Yeah...hata wewe na upunguani wako ungegombea kwa Ukawa tungekupa!Mabadiliko yepi mnaongelea? Ya kumweka mlutheri madarakani? Funguka.
Mkuu katika watu ninaowaonanaga vilaza ni pamoja na FaizaFoxyAcha ulimbukeni mkuu! We ni mtu mzima unaongeaje huu ujinga na umefaidika nini baada ya kuandika haya sasa? Ukiwa kitandani na bwashee unaweza kuongea ujinga kama huu? Haufananii na haya mambo unayoandika kabisa!!!
Mabadiliko yepi mnaongelea? Ya kumweka mlutheri madarakani? Funguka.
Kuitoa CCM kwa lugha nyepesi.CCM ikitoka ndo Furaha yetu
Mabadiliko yepi mnaongelea? Ya kumweka mlutheri madarakani? Funguka.
Mabadiliko yepi mnaongelea? Ya kumweka mlutheri madarakani? Funguka.