Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,792
- 38,575
Hahah..... DaahKwani Leo Baba swalehe hata sikumbukii kama nishawahi kumiliki
Hahah..... DaahKwani Leo Baba swalehe hata sikumbukii kama nishawahi kumiliki
Kabisa wanawake tuna kazi , bado hatujasuka hapo
Kama wanaume wangekuwa adimu kusingekuwa na kuuana mara magunia ya mkaa, ingekuwa pyeee unasepa unaibuka na mwingineMwanaume ni bidhaa adimu sana. Hiyo yote wanafanya kwa kutufurahisha sisi. Watu mpaka wanaongeza makalio unafikiri mchezo
Kwani unayo?Mmmh ,hatari na madhara yake je? Au ndyo matokeo kwanza,madhara baadaye doh,siwezi kutumia hata Kwa fimbo, bora kuonekana sina tu
Hupendi wanangu eeh, basi na ukinizingua nawaita vidume wangu wakudundeeaaahh hilo tatizo sasa!!..
Na mlivyokuwa wengi sasa.
Kwa uzoefu wangu tofauti ni ndogo sana. Kilio cha vibamia kinaletwa na nini?Mkuu, usifananishe elasticity ya vitu vingine na hicho kitu, Mungu fundi ujue hii lastic yake ni og
Kama wanaongeza makalio, kwa nini wasifanye sehemu hiyo kuwa kama mpya?Dah! Wanaume tunakazi yani kiwanda kimekaa kuchakata hiyo midawa wakafungasha mpk kufika amazon watu wakanunua hii combination yote ni kumlaghai mwanaume kuwa mwanamke huyu ni bikra dah!! Hata dunia inatusaliti tena kuna mengine na mindevu yao imeshiriki ktk huu ukanjanja!! Wanawake tumewakosea Nini..?