Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 58,636 Reaction score 220,353 Feb 23, 2017 #2 Hizi ndiyo hand luggage za wa China wakirudi kwao.
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Feb 23, 2017 Thread starter #3
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Feb 23, 2017 Thread starter #4
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Feb 23, 2017 Thread starter #5
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Feb 23, 2017 Thread starter #6 Katoto ka swala kakiwa kametulia ili kapewe tiba na ndege. Ndege husaidia kutoa wadudu kama kupe kwa wanyama na kupe ni CHAKULA CHA NDEGE
Katoto ka swala kakiwa kametulia ili kapewe tiba na ndege. Ndege husaidia kutoa wadudu kama kupe kwa wanyama na kupe ni CHAKULA CHA NDEGE
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Feb 23, 2017 Thread starter #7 Mungu kaumba duniani na maajabu yake. Kila kiumbe kina namna yake ya kujilinda na kuishi. Anaitwa Hondohondol....hapa anahangaika namna ya kumla kobe. Ataweza?
Mungu kaumba duniani na maajabu yake. Kila kiumbe kina namna yake ya kujilinda na kuishi. Anaitwa Hondohondol....hapa anahangaika namna ya kumla kobe. Ataweza?
Dragoon JF-Expert Member Joined Nov 24, 2013 Posts 7,012 Reaction score 8,146 Feb 23, 2017 #8 safi sana mkuu
MWANDENDEULE JF-Expert Member Joined May 24, 2015 Posts 4,755 Reaction score 9,225 Feb 23, 2017 #9 Amavubi said: Katoto ka swala kakiwa kametulia ili kapewe tiba na ndege. Ndege husaidia kutoa wadudu kama kupe kwa wanyama na kupe ni CHAKULA CHA NDEGE Click to expand... Kweli Mungu ni mkuu tazama mnyama asiye na mikono wala uwezo wa kuomba msaada atolewe papasi sikioni kapewa msaidizi na rafiki wa kumtolea kupe.
Amavubi said: Katoto ka swala kakiwa kametulia ili kapewe tiba na ndege. Ndege husaidia kutoa wadudu kama kupe kwa wanyama na kupe ni CHAKULA CHA NDEGE Click to expand... Kweli Mungu ni mkuu tazama mnyama asiye na mikono wala uwezo wa kuomba msaada atolewe papasi sikioni kapewa msaidizi na rafiki wa kumtolea kupe.
Mgirik JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 13,258 Reaction score 13,368 Feb 23, 2017 #10 Amavubi hyo avatar yako inamaana gani
Q Qsm JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 450 Reaction score 263 Feb 23, 2017 #11 Amavubi kuanzia leo nakuita Chief Park Warden au Mhifadhi Mkuu! hongera sana na picha tamu sana!
ndanshaumartin Member Joined Jun 1, 2015 Posts 29 Reaction score 19 Feb 23, 2017 #12 Amavubi said: Click to expand... Kudu
M mama kubwa JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 6,527 Reaction score 10,538 Feb 23, 2017 #13 Mgirik said: Amavubi hyo avatar yako inamaana gani Click to expand... Ndala za guest hakuna kuondoka nazo.
Mgirik said: Amavubi hyo avatar yako inamaana gani Click to expand... Ndala za guest hakuna kuondoka nazo.
Mwanzo ni Mwisho JF-Expert Member Joined Mar 9, 2016 Posts 4,394 Reaction score 10,836 Feb 23, 2017 #14 ivi wakuu mlishawai kufikiria Mungu alivyo fundi!!! yani kuna wanyama wengine ukiwaangalia lazima ujiulize maswali kidogo.
ivi wakuu mlishawai kufikiria Mungu alivyo fundi!!! yani kuna wanyama wengine ukiwaangalia lazima ujiulize maswali kidogo.