DUU jama nadhani hahitaji kuvaa ngua ni bora awe anatembea uchiiHi all,
i got this from a friend, dont hold me liable.
Nje ya mahakama, kelele za vifijo na vigelegele vilirindima kutoka kwa ndugu wa Liyumba, huku ndugu wengine wakitoa vilio vya furaha, kwa kumkumbatia mtuhumiwa huyo na mwenyewe alisikika akisema kuwa twendeni nyumbani, twendeni nyumbani?!!
Hii List imesambaa mjini na watu wanalijadili. ila kusema kweli hapo wapo ambao wameshakubali na wamekiri kuwa ni HIV positive.
What I find repulsive ni hii ya kubandika majina yao... after all it is a private affair, on the other hand, huyu jamaa Liyumba ni mwuaji - mass murderer!
Hivi mtu akitaka kuchukua legal action kwa kuchafuliwa jina lake katika mtandao huu, anamshitaki nani kama mshitakiwa mkuu??
kwenye orodha kuna somo wa hili jina tk!any way kama sio kweli sio kweli tu!mimi naamini kuna majina mengine wamepakaziwa!haina haja ya kuchukua legal action!mambo ya mtandao watu wnyewe hapa ni ma invisible!Hivi mtu akitaka kuchukua legal action kwa kuchafuliwa jina lake katika mtandao huu, anamshitaki nani kama mshitakiwa mkuu??
lol tk nae kumbe yumo kwenye First eleven ya liumba?kwenye orodha kuna somo wa hili jina tk!
Nashukuru kwa kupata uanachama wa jamii forum
Huyu naye anachanganya mambo!Jamani naombeni mnifahamishe,kwani huyu Amatus bado yuko kazini kweli?!Au kudondoka kazini inamaana nyingine tofauti na ajali?Hii imekaaje,mbona title haina uhusiano na subject?Si title ingekuwa shukrani?
Huyu naye anachanganya mambo!Jamani naombeni mnifahamishe,kwani huyu Amatus bado yuko kazini kweli?!Au kudondoka kazini inamaana nyingine tofauti na ajali?
Ningependa kufahamu kutoka kwenu ndugu wapendwa wa JF.
liyumba si muuaji!hivi kwani alikuwa anawakamata na kuwabaka kwa nguvu!
si yalikuwa ni makubaliano jamani!hapendwi mtu ila pochi!
Nice to join the lot in the forum. I must have missed alot. I look forward to a lot of things coming.