Au hii pesa amemkatia hapo Hakimu nini?
mnapakaza nani aone mchumba wake kaanikwa na kasfa kibao akubali hata kula denda nae.....hata mie nakula kona......
......ile list ndio maua yetu mtaani wanaotusitiri.......niambie list ile wewe hugongi kavu? tuambieni ukweli totozi zile zionage kwenye picha zisogelee hutakumbuka ndomu.....
Jamani mbona hao wengine walipunguziwa yeye ni nani si binadamu.....kama yona na mramba...wacheni mahakimu msiwaingilie haki ifanye kazi
ujumbe tu
kwa wote wa epa uliosikia ama kuwaona wakiingia ndani na wamefanikiwa kutoka sahau kama watarudi kule,,,huo ulikuwa mchanga wa macho tu
Binafsi sioni cha kushangaza hapa, maana nilikwishaona dalili za mauzauza toka awali. Haiingii akilini watu 2 tu wakwibe peke yao sh 220 bilioni ktk nchi yenye serikali na vyombo vya dola, bunge na mahakama.
Tatizo ninaloliona ni upangaji wa EPISODE ktk mchezo huu wa kuigiza. Nasubiri episode nyingine labda watatengeza picha kali zaidi.
Hi all,
i got this from a friend, dont hold me liable.
Nashukuru Mungu hajaniweka kwenye hiyo orodha!
Amatus Liyumba: Balaa
It is horrifying to read this abuse of the trust placed in a senior officer of our central bank. Not only the loot but the way he utilised it, bribing women to satisfy his craving for sex.
However my comment here concerns how it has been construed that it was Liyumba and his colleague Kweka who were responsible for this abuse. The tender for the building of the BoT twin towers must have considered by the Board of Directors under the chairmanship of the Governor. Building consultants must have used to assess all tenderers. The accepted price was approved by the Board. How come it is only Liyumba and Kweka who are being blamed?
The next phase is the payments for the works as progress was made. Normally a Quantity Surveyor assesses each claim to see if the contractor has actually done what he claims. The QS then advises management what to pay in accordance with the contract agreement. It is when management agrees that officers like Liyumba are instructed to write the required cheque.
So my question is "Why is the Government not tackling the real decision makers? Is the public being hood-winked by prosecuting the "dagaa" rather than the "sangara"?
If Liyumba and his colleague inflated the approved payments and pocketted part for their own selfish needs that is when they can be blamed.
Kilasara (JF Member)
Its unbelievable, but as one of us said.Let no one point finger to another but Judge yourself and see if you are a perfect human being. For sure everyone will die its just a matter of time and not the cause of death
the architect and the quantity surveyor are pritected by the law from any negligence they may commit during the execercise of their duties, and on top of that, they are obliged to take professional indemnity insurance, thus if bot suffers from their act, they can be compensated from professional indminity cover, and not taking them to kisutu
the big puzzle is that, who protect akina mramba ana lyamba from theiir decision making on public interest? it is high time the other professional bodies to consider this
Hiki kitu umekipata wapi hiki? Toka lini ukajiwekea bima ili usishitakiwe?
Hakuna kitu kama "professional indemnity insurance" inayokulinda usiende Kisutu.
Legal insurance na Indemnification zinahusiana na kesi za madai; makubaliano ya kulipiwa hukumu na legal fees.
Huwezi kujiwekea eti "indemnity cover" ili usishitakiwe. Iwe jinai au madai, hakuna hicho kitu.