GE2025 Amani Golugwa: Mbowe anawajibu wa kuzungumza na hatakiwa kuukwepa kabisa, Watanzania wanamshangaa!

GE2025 Amani Golugwa: Mbowe anawajibu wa kuzungumza na hatakiwa kuukwepa kabisa, Watanzania wanamshangaa!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) – Tanzania Bara, Amani Golugwa ameweka sawa kuhusiana na ukimya mzito wa mwenyekiti mstaafu wa chama chao Freeman Mbowe.

 
Mbowe hatumtaki, taswira yake imeshachafuka....amejiharibia haaminiki tena mzee!
 
Back
Top Bottom