Amaa kweli...

kuwen makini na izo shep wenda mchina kashafanya yake. ivi hii pic si yule alosababisha kaka wa watu anarest in peace?

Hamna mchina hapo. Binadamu ashafanya yake.
Nimewahi muona kama uyo kigamboni, ila ni mchafu yule Dada mmmh....
 
Huyo wa kwanza c wanadai ndio alikua na marehem mmilik wa club moja huko Bukoba wakirahatupika. Eti ni mzanaki sio wa Bukoba.
 
huyu ndo yule jamaa alipiga bao tatu kwenye gari akafa ??
 
Huyo wa kwanza c wanadai ndio alikua na marehem mmilik wa club moja huko Bukoba wakirahatupika. Eti ni mzanaki sio wa Bukoba.

Wanazanaki mmemchukua kwa mkopo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…