Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
Sikuwahi kutegemea katika maisha yangu kama babu yangu alikuwa anaona mbali kiasi hiki. nakumbuka ilikuwa mwaka 90 wakati aliponiambia kuwa watanzania. ni waerevu sana lakini wa kijinga.
Na sasa nimeamini angalia tunavyoibiwa huku tunaangalia hatufanyi lolote. umeme wametupandishia kodi wanapandisha mali asili za tanzania wanaziuza zote matokeo yake sasa mapato ya serikali yanatokana na kodi. angalia katika mxhahara wa kawaida unabakiwa na shilingi ngapi, angalia maisha yalivyopanda na bado tumekaa tunawapa tu, tunapenda sifa za kujulikana bila kufanya mambo yoyote ya maana. tunaanzisha kitu hatuwezi kumalizia, waoga wa kutoa wazo la maendeleo lakini waerevu wa kutoa wazo la kuteketeza nchi kwa masilahi yako mwenyewe.
Watanzania muda umefika sasa tusimame kama nchi zingine Tanzania ina sifa ya madini ya Tanzanite madini yanayopatikana tanzania peke yake lakini kimataifa sasa yanajulikana kuwa yanapatikana kenya. IS THIS FEAR kumlipa mtu hela aweke mfukoni na bado kodi tumlipe pia, Je ni kweli tumeshindwa kabisa kutengeneza falls River Nile so as to get power, ????
Watanzania tuamke tuungane pamoja sasa na tutafute mstakabali wa taifa letu KWA HALI NA MALI KWA NGUVU NA KWA ELIMU NA UJASIRI WA HALI YA JUU. NO BODY CAN COME TELL US UR DYING WE ARE THE ONE TO WAKE UP AND ACT.
Na sasa nimeamini angalia tunavyoibiwa huku tunaangalia hatufanyi lolote. umeme wametupandishia kodi wanapandisha mali asili za tanzania wanaziuza zote matokeo yake sasa mapato ya serikali yanatokana na kodi. angalia katika mxhahara wa kawaida unabakiwa na shilingi ngapi, angalia maisha yalivyopanda na bado tumekaa tunawapa tu, tunapenda sifa za kujulikana bila kufanya mambo yoyote ya maana. tunaanzisha kitu hatuwezi kumalizia, waoga wa kutoa wazo la maendeleo lakini waerevu wa kutoa wazo la kuteketeza nchi kwa masilahi yako mwenyewe.
Watanzania muda umefika sasa tusimame kama nchi zingine Tanzania ina sifa ya madini ya Tanzanite madini yanayopatikana tanzania peke yake lakini kimataifa sasa yanajulikana kuwa yanapatikana kenya. IS THIS FEAR kumlipa mtu hela aweke mfukoni na bado kodi tumlipe pia, Je ni kweli tumeshindwa kabisa kutengeneza falls River Nile so as to get power, ????
Watanzania tuamke tuungane pamoja sasa na tutafute mstakabali wa taifa letu KWA HALI NA MALI KWA NGUVU NA KWA ELIMU NA UJASIRI WA HALI YA JUU. NO BODY CAN COME TELL US UR DYING WE ARE THE ONE TO WAKE UP AND ACT.
GOD BLESS TANZANIA