Ama kweli ndoa ndoano

Hiyo ndio hali halisi au tabia halisi ya huyo mke,kipato cha mumewe kilikua tu kinaificha hiyo tabia yake,

Mshukuru Mungu amekupa mtihani ili ugundue kua huyo sio mke,sikuombei mabaya ila siku ikitokea ukaugua na kushindwa hata kujitafutia riziki,huyo mwanamke atakunyanyasa sana au hata kukuacha ukiwa katika hali hiyo,

Huyo sio Mke,hakufai kabisa coz huo ndio ulikua mtihani wa kumtambua jinsi alivyo,achana nae mara moja kabla hayajakufika makubwa zaidi,na kitendo cha kukutangaza mpaka kwa ndugu zake nacho hakivumiliki,

Yangu ni hayo tu,the rest it's up to you.
 
Wanasema kosa pesa ujue tabia ya mkeo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kukikosekana hela mzee hata kama anakupenda vipi, uvumilivu utamshinda!
Big noo , jamaa yako hajakosa hela , amepungukiwa tuu Kwa kiwango ambacho huyo slayqeen wake kinamtoa kwenye mudi, mwanamke akikupenda acha kabisa , atakutia moyo Sana na atafanya kila liwezalo uinuke...na kabla ya kuoa wanaume wote huwa tunapitia kwenye uamuz wa makundi hayo mawili , demu unayemfukuzia na demu anayekupenda , mara nyingi huwa tunaangukia Kwa demu unayemfukuzia na kumtosa anayekupenda , shughuli huanza ukiishiwa mtaji
 
Huyo jamaa mshauri ambembeleze huyo Malaya wake ( mke?)apoe kidogo. Akisha poa amfanyie timing amtundike mimba, hapo mchezo kwisha. Jamaa atapendwa mno. Hii ni kwa sababu wanawake wengi hawapendi kuonekana Wana mimba isiyojulikana baba wa mtoto .
 
Kuna wimbo maarufu huko tiktok wa mnaijeria
Number one give her money....
Number 2 just give her money....
Number 3 find money and give her money...
Number 4 give her money....
Number five if u don have money borrow money and give her money....
Natamani nipate wa design yako nimnyooshe

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni nyundo kwenye msumali umegusa sehemu sahihi

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Huyo jamaa mshauri ambembeleze huyo Malaya wake ( mke?)apoe kidogo. Akisha poa amfanyie timing amtundike mimba, hapo mchezo kwisha. Jamaa atapendwa mno. Hii ni kwa sababu wanawake wengi hawapendi kuonekana Wana mimba isiyojulikana baba wa mtoto .
C I A mindset

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…