Pilocarpine
Member
- Jan 28, 2018
- 27
- 27
Bila nidhamu ya pesa kwenye haya maisha,lazima kuna siku lazima utakuja kujutia.
Hiyo ndo hali niliyonayo saivi
Vijana wenzangu hasa ambao bado hatujawa na source ya kudumu ya kupata kipato,tuheshimu sana hela.
Nakosa hata hela ya kula kweli!,majuto kweli ni mjukuu.
Hiyo ndo hali niliyonayo saivi
Vijana wenzangu hasa ambao bado hatujawa na source ya kudumu ya kupata kipato,tuheshimu sana hela.
Nakosa hata hela ya kula kweli!,majuto kweli ni mjukuu.