Wewe uliweza kumsaidiaje huyo ndege ili aweze kuondoka na watoto wake salama, au uliweza kumpiga picha na kuja kuitundika apa?????sasa apo wewe na uyo ndege nani mwenye akili?????
Wewe uliweza kumsaidiaje huyo ndege ili aweze kuondoka na watoto wake salama, au uliweza kumpiga picha na kuja kuitundika apa?????sasa apo wewe na uyo ndege nani mwenye akili?????
Hiyo mipangilio ya Mwenyeezi-Mungu...Sisi BinaADAMU na nguvu zetu zote kesho tunakuwa mloo wa funza na wadudu!!..
Alafu tazama mzunguko huu wa uhai.... wanyama,samaki,ndege,wadudu,mimeya,nk... kila mmoja humfaa mwengine!!
Hiyo mipangilio ya Mwenyeezi-Mungu...Sisi BinaADAMU na nguvu zetu zote kesho tunakuwa mloo wa funza na wadudu!!..
Alafu tazama mzunguko huu wa uhai.... wanyama,samaki,ndege,wadudu,mimeya,nk... kila mmoja humfaa mwengine!!
Wewe uliweza kumsaidiaje huyo ndege ili aweze kuondoka na watoto wake salama, au uliweza kumpiga picha na kuja kuitundika apa?????sasa apo wewe na uyo ndege nani mwenye akili?????