<br />Hivi field huwa ina report ya kurudi chuo?
nisaidieni jamani kwani naweza kuwehuka. Ni wiki ya pili sasa tangu nianze field ktk shule moja huku kilimanjaro. Cku 3 za mwanzo ckuona shida kwani ckupata usumbufu ila kuanzia jtatu nimeanza kusumbuliwa kwani vijana 3 ktk hyo ofc kila mmoja ananitaka. Mmoja ni bursar na mtoto wa owner wa shule, wa pili ni academic na mwingine mwalimu mkuu msaidizi. Kwa kweli nimeshachanganyikiwa kwani kwa ukweli simtaki yeyote hapo cuz still nauguza majeraha ya moyo. Nifanyeje manake field ni mpaka september na wote kwa kiasi wana influence ktk ripoti yangu ya kurudi chuo? Nipeni mawazo jamani manake maisha na elimu yangu iko matatani!!
<br />Nisaidieni jamani kwani naweza kuwehuka. Ni wiki ya pili sasa tangu nianze field ktk shule moja huku Kilimanjaro. Cku 3 za mwanzo ckuona shida kwani ckupata usumbufu ila kuanzia jtatu nimeanza kusumbuliwa kwani vijana 3 ktk hyo ofc kila mmoja ananitaka. Mmoja ni bursar na mtoto wa owner wa shule, wa pili ni academic na mwingine mwalimu mkuu msaidizi. Kwa kweli nimeshachanganyikiwa kwani kwa ukweli simtaki yeyote hapo cuz still nauguza majeraha ya moyo. Nifanyeje manake field ni mpaka september na wote kwa kiasi wana influence ktk ripoti yangu ya kurudi chuo? Nipeni mawazo jamani manake maisha na elimu yangu iko matatani!!
kila mmoja mjibo kwa wakat wake
majibu ya kidiplomasia...ambayo ataondoka uku anacheka..usiwehuke mbona vtu vdogo saaaana ivo?
kila mmoja mpange kwa wakat wake mjaze maneno yake..kuna ofc nyngne wanafanyaga mashndano ya kumpata kila bnt mpya anayeripot ofcn ..tena wakikaa wanasema kabsa ahh nan atampata yule..ahh tutaona wewe awez kuchomoa kwangu mim nina title apa..
sema ukiweza kuwapangua wote na mwshowe kila mtu atasema ahh yule bnt kiboko..APO NDO UTAHESHIMIKA ATA RIPOT YAKO ITAANDIKWA FRESH..NA UTAKUWA RAFIKI WA WOTE..LAKIN UKIJIFANYA KUMPA MMOJA AFU WENGNE WAJUE AHH TEGEMEA UMEUMIA KWENYE RPOT YAKO CZ KILA MTU ANA MKONO WAKE APO ACORDNGLY..
kataa wote.linda heshima yako.wakijua msimamo wako watakueshimu na ripot itakuwa fresh tu...pole
NEVER ON EARTH ...USIJARIBU KAMWE KUMPA MWANAUME MWILI WAKO FOR EXCHANGE OF PESA,KAZI,MALI AU ANY PRIVELEGE..ni laana tena laana bnafsi cz maisha yako yote shetan atakuandamana na atakujaza ujinga like apa uwez kufaniukiwa bila kugawa mwili...ukipandacho...MUNGU YUPO ATAKUSAIDIA..AYO MAJARIBU TU YATAKWISHA..USITETEREKA UKAINGIA DHAMBINI BSHOST...tunza mwili wako cz ni hekalu ilo...fanya yote bt kuhusu kuguswa guswa apana..kuwa mkali kuwa makini..
wsh u gud sweetie
na huko tz kuna mambo ? la kwanza acha showing off kwa mademu , la pili hayo ni maisha yako , then kuna maradhi, na hao wanakutamani ,, tu nahisi kua muazi wewe n man unatka kuja kua na majukumu ya future yako ,usiwa pe nafasi kufuja maisha yako ,waepuke wanawake kama hao ,kama watakufata usiwe rud ,just wambie ukweli tu , kama huko tayari ,epukana na watu kama hao . watu wasio kua na kimeme, jina lako SABRI kama sikosei sasa kua na subraaa kama jina lako,,
kila mmoja mjibo kwa wakat wake
majibu ya kidiplomasia...ambayo ataondoka uku anacheka..usiwehuke mbona vtu vdogo saaaana ivo?
kila mmoja mpange kwa wakat wake mjaze maneno yake..kuna ofc nyngne wanafanyaga mashndano ya kumpata kila bnt mpya anayeripot ofcn ..tena wakikaa wanasema kabsa ahh nan atampata yule..ahh tutaona wewe awez kuchomoa kwangu mim nina title apa..
sema ukiweza kuwapangua wote na mwshowe kila mtu atasema ahh yule bnt kiboko..APO NDO UTAHESHIMIKA ATA RIPOT YAKO ITAANDIKWA FRESH..NA UTAKUWA RAFIKI WA WOTE..LAKIN UKIJIFANYA KUMPA MMOJA AFU WENGNE WAJUE AHH TEGEMEA UMEUMIA KWENYE RPOT YAKO CZ KILA MTU ANA MKONO WAKE APO ACORDNGLY..
kataa wote.linda heshima yako.wakijua msimamo wako watakueshimu na ripot itakuwa fresh tu...pole
NEVER ON EARTH ...USIJARIBU KAMWE KUMPA MWANAUME MWILI WAKO FOR EXCHANGE OF PESA,KAZI,MALI AU ANY PRIVELEGE..ni laana tena laana bnafsi cz maisha yako yote shetan atakuandamana na atakujaza ujinga like apa uwez kufaniukiwa bila kugawa mwili...ukipandacho...MUNGU YUPO ATAKUSAIDIA..AYO MAJARIBU TU YATAKWISHA..USITETEREKA UKAINGIA DHAMBINI BSHOST...tunza mwili wako cz ni hekalu ilo...fanya yote bt kuhusu kuguswa guswa apana..kuwa mkali kuwa makini..
wsh u gud sweetie
<br />hao simple kuwapiga chini!waambie umeathirika afu uone kama kuna atakayerudi!lazima wote watoke mbio,unakua umesalimika!
...kuna haja ya kuchongesha 'cheti feki' nawe ni muathirika (HIV +VE) kisha unajifanya umekisahau mezani...