Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,729
- 4,669
Yeah, huwezi sema unanipenda hlf unanidunda. Mengine mengi navumilia,na yeye anavumilia mengi tu.
Ndoa ni tamu sana sometimes, sasa hivi kwangu ni Tamu mnooo
Sijui kwanini siaminigi story ambayo haija balance or ya upande mmoja. Umemaliza masters ukiwa na miaka 20? Tanzania au nchi gani? Wakati ulipokutana na mshaji mkawa wachumba izo tabia zote mshkaji hakuwa nazo ndo maana ukampenda. Nini unadhani kili mbadilisha jamaa? Hapo upande wa jamaa haujazungumza ili story ibalance
Wanaume sisi huwa tupo tofauti sana kuna mtu ukimkosea jambo kubwa anaweza badilika makusudi ili uondoke tu. Hujawai mkosea jamaa jambo ambalo hawez saau? Anyway najaribu tu kufikiria zaidi ya ulicho kiandika .pole sana lakini
Im 51 years old na yeye yuko 55. Katika umri huu naona im too old kupata bwana. Yeye anadate na vibinti vidogo. Ni bora angeniheshimu anarudi ametapakaa lipstic kwenye vest while im starving sexually. Hii sio ndoa ni matesoKwani dada...sayari unayoishi inaitwaje? Na hiyo mbususu bado umemuhifadhia yeye au? 8 years 🙄🙄🙄. Kweli Kuna watu wataenda peponi nimeamini
Huyo mwanaume ana matatizo ya nguvu za kiume. Ana inferiority complex juu ya hilo, na anajaribu kuonyesha uanaume wake kwa kumpiga mkewe. Pia, si unaona anavyohangaika kuhusu uonekano wa mkewe? Yaani anakua na wasiwasi kwa sababu yeye nguvu zake za kiume ni za kisoda, mkewe akipendeza sana wanaume wenye maguvu yao ya kiume watamparamia huko nje na kumpiga ukuni hadi mkewe amsahau. that is why kila siku anahangaika kuhakikisha mkewe hapendezi.
Huyu mdada angeweza kusema mambo zaidi hapa, nakuhakikishia angesema kuwa mumewe ni mzee wa dakika moja kama jogoo, na akipiga hako ka dakika 1, jogoo kuwika tena ni hadi kesho. Ukifuatilia zaidi hata kwa hao michepuko wa huko nje habari ni hiyo hiyo, unaweza kuta hata hawagongi, bali huwa anawalipa tu waendelee kumfichia siri.
Wanaume malaya huwa wanagonga ndani (kwa wake zao), na wanagonga nje, hawaachi wala kuchagua mbususu.
Mwanaume malaya anamuangalia mkewe anaelala nae kitanda kimoja miezi minne bila kuchakata mbususu? Are you fucki.ng kidding me???
Niamini mimi.
mbalizi1
Low seasons zipo sana tu hazikosekani ila tufurahie tu hii high season my dear..Huwa kuna high na low season
Nipo kwenye High season
Pole mwanamke mwenzetu
Japo tumesoma upande wake tu ila hiyo ndoa ni kaburi
I believe umeweza vumulia miaka 8 pole sana na hongera pia stay that positiveIm 51 years old na yeye yuko 55. Katika umri huu naona im too old kupata bwana. Yeye anadate na vibinti vidogo. Ni bora angeniheshimu anarudi ametapakaa lipstic kwenye vest while im starving sexually. Hii sio ndoa ni mateso
Kinachokufanya ustarve sexually ni nini? Unaogopa kutenda dhambi?Im 51 years old na yeye yuko 55. Katika umri huu naona im too old kupata bwana. Yeye anadate na vibinti vidogo. Ni bora angeniheshimu anarudi ametapakaa lipstic kwenye vest while im starving sexually. Hii sio ndoa ni mateso
At 51?Kinachokufanya ustarve sexually ni nini? Unaogopa kutenda dhambi?
Yaani mimi upite mwaka sijafanywa tena bila sababu ya kueleweka...kiruuuu.
Mwezi tu nachizika
Kofi hadi mtu analazwa siku kadhaa? Hilo kofi la dubu au la tembo?Ila dunia ya siku hizi wanawake wavumilivu wameisha that's why na ndoa hazifungwi sana siku hizi, mke akipigwa kofi tu akaomba ushauri utasikia "achana na huyo mbwa atakuja akuue, hama ukalee wanao "
Am 41 and my libido is getting higher everyday. Naamini nikifika 50 bado nitakuwa na hamu zangu. Zinaweza kupungua lkn sio kwa kiasi cha kuondoka kabisa.At 51?
Wanawake kuanzia 28 kwenda mbele libido inakua inaongezeka.Am 41 and my libido is getting higher everyday. Naamini nikifika 50 bado nitakuwa na hamu zangu. Zinaweza kupungua lkn sio kwa kiasi cha kuondoka kabisa.
Ina maana hujaguswa tangu una miaka 42 (umri almost na wangu) ..ulikuwa bado mbichi kabisa.
Siwezi jamani hata shetani atanishangaa
Ni kweli kabisa. Mungu anisaidie nigegedwe hadi miaka 60 kama nitakuwa hai. Sipati picha kuimiss hii kitu. Uzee nyoko sanaWanawake kuanzia 28 kwenda mbele libido inakua inaongezeka.
At 40 ndo inakua maximum kabisa, wana crave for mgegedo na kuenjoy balaa....!!! Wanawake wengi ambao wameshafika 50+ ukiwauliza at what age did they have the best sex life, most od them watakwambia from around 38-43 yrs!
Ngoja nimpigie mke wangu nimwambie samahani! Ukweli imeniuma Sana, maana kuna vitu umeandika nimevisoma nikiwa na akili timamu muda huu, nimegundua ninamkosea sana mke wangu pia. Siyo yote lkn maumivu yako mengine nimeyaona kwa mke wangu pia.
Mungu nisamehe, mke wangu nisamehe
siyo libido peke yake yaani the more you get older ndiyo unakuwa mtamu yaani nyie 40s ndiyo daah acha niishie hapaAm 41 and my libido is getting higher everyday. Naamini nikifika 50 bado nitakuwa na hamu zangu. Zinaweza kupungua lkn sio kwa kiasi cha kuondoka kabisa.
Ina maana hujaguswa tangu una miaka 42 (umri almost na wangu) ..ulikuwa bado mbichi kabisa.
Siwezi jamani hata shetani atanishangaa