Hahahhahaaaa.Sijasoma yote lkn wewe mwenzetu umelogwa acha upumbavu. Unasubiri divorce ya nini? Ili iweje yaani? Huna maamuzi binafsi hadi jamii ikuamulie?
Unashindwa nini kumuacha uondoke then ushughulike na divorce baadae? Hata tukikushauri hapa hutatekeleza ushauri wetu utaendelea kugandana hapo.
We baki na msela wako, hilo ndo chaguo lako ndoa ni uvumilivu, vumilia dada..thawabu utaipata mbinguni. Ukiachika tutakucheka utakosa heshima kwenye jamii kifupi utadharaulika. Shikilia hapo hapo udundwe hadi akili ikukae sawa.
God fearing my foot.
Sasa unanizingua kabisa😄😄😄..lets close this chapter pls na ninaomba msaada kwa baada namba ya mwanasheria mzuri au mtu wa ustawi. Sijui wanaanziaga wapi.Hahahaaa
Nishajua aiseee...Nigga alioa kitu kilichomzidi uwezo kiuzuri....this is really big problem.
Men act weird and out of character....
Kwa uzuri wako aisee,I doubt,maana TZ wanaume tupo sawa in such a way kupata high value man than huyo mwenye confidence ya kuvumilia tako kubwa la mwanamke wake ndani ya jeans linazunguka freely,itakua changamoto aisee!
Jikondeshe kama Wema uone jamaa kama hatarudi fastaaa
Sweetheart.
Hii dunia hamna ambayo hana madhaifu.
Hakudai yeyote ukamilifu.
Huna haja kabiiiisa ya kusema hizi ni weakness zako.
Hizi si weakness mama,
Weakness zipo na We all have them.
-Mi sipendi kufua na sifui, naita mtu afue.
-Nna kisirani, cha kutosha tu.
-Nikiamua kuzichapa tunazipanga.
-Sikubali majibu marahisi kwenye situation ngumu na ntakubishia ukiona.
-Nikiona kitu sielewi ninahoji na nitahoji.
Na mengine tu mengi,
Sasa all of them here huyu ndiye mimi.
Sasa wewe huna sababu ya kuwa a saint kutakiwa kupendwa na kuhurumiwa.
Mi na ununda wangu huu kuna watu hawalali wananiota.
So own yourself.
Siutafuti u saint dear..mimi kufua napenda na napenda hekaheka za nyumbani. Yani napenda kujishughulisha hata kazini. Sipendi kuwa idle..nima hasira hio ni weekeness yangu kubwa na kuhisi naonewa..naona kama dunia nzima inajua shida zangu sasa nikionewa huwa na hasira but ndani ya muda mfupi narudi kawaida.
Ukikasirika what do you do out of that adrenaline rush? Unaongea sana au unafoka ama inakuaje handling ya hizo hasiraSiutafuti u saint dear..mimi kufua napenda na napenda hekaheka za nyumbani. Yani napenda kujishughulisha hata kazini. Sipendi kuwa idle..nima hasira hio ni weekeness yangu kubwa na kuhisi naonewa..naona kama dunia nzima inajua shida zangu sasa nikionewa huwa na hasira but ndani ya muda mfupi narudi kawaida.
Ni huzuni usichekeHahahhahaaaa.
Nimejikuta naangua kicheko japo ni ya kuhuzunisha.
eti....."God fearing my foot!" [emoji1][emoji1]
Hizo protocol mpk umalize.Sasa unanizingua kabisa😄😄😄..lets close this chapter pls na ninaomba msaada kwa baada namba ya mwanasheria mzuri au mtu wa ustawi. Sijui wanaanziaga wapi.
Mr Bean kawa Dr Phil 😅😅😅Ukikasirika what do you do out of that adrenaline rush? Unaongea sana au unafoka ama inakuaje handling ya hizo hasira
Ni rahisi kama ulishawahi sepa! Ya kwanza ni ngumu plus huyu mwanamke kashajazwa hofu anajua akiondoka aendako akirudi atakung’utwa!Mi ningeshasepa kitambo mbona
Nimecheka nikiwa nahuzinika hivo hivoNi huzuni usicheke
Anafuta viatu vya hubbieUkikasirika what do you do out of that adrenaline rush? Unaongea sana au unafoka ama inakuaje handling ya hizo hasira
Ninaenda kuanza kubeba all needs and my kid..japo ananitishiaga hawezi kukaa mbali na mwanae hata mahakamani. Mimi siwezi kumuachia mtoto kwa ukisirani wake, haya mambo jamaniBy being saint simaanishi Mt Maria Goreth somo wa jumuiya yetu.
Namaanisha ,reaaaaact.
Unajua the way you are being passive, Huyu mtu unamzoesha.
Anaona that's your default setting mpenzi wangu.
Haaachi.
Na hataacha.
Unasema kwa hakika.Ni rahisi kama ulishawahi sepa! Ya kwanza ni ngumu plus huyu mwanamke kashajazwa hofu anajua akiondoka aendako akirudi atakung’utwa!
Ninalia sanaaaa na ananiona nikiliaUkikasirika what do you do out of that adrenaline rush? Unaongea sana au unafoka ama inakuaje handling ya hizo hasira
Haya mambo ni binadamuNinaenda kuanza kubeba all needs and my kid..japo ananitishiaga hawezi kukaa mbali na mwanae hata mahakamani. Mimi siwezi kumuachia mtoto kwa ukisirani wake, haya mambo jamani
Yessir!Kevin Samuels tena....
Kwa sasa yeye si unajua ndio king wa hizi biashara za mahusiano,na dada yetu hapa katuletea mahusiano yamemkalia vibaya,nikafanya msaada wa kum-smuggle KS nikamleta hapa asaidie
Hahahaa
Ninarudi kwetu na kesho ijumaa nitakwenda ili weekend niji sort vizuri j3 niweke ratiba vizuri za shule kwa mtoto na kwanguHaya mambo ni binadamu
Na binadamu ndo sisi
Na yanawezekana
Na sio wa kwanza wala hutakuwa wa mwisho.
Best nini kingine unafkr?Best hapo wanapokuota wanakuota wanakufanya nini? 😜😜😜