Naweza kubeba Hadi viroba vya Mchele.Wee acha tuu...... Ila support tuu ukisema nikuajiri wakati na mi hapa nina miezi bado nahangaikia ajira hapa AM GRAIN STORE yaan yaaan yaani πππππππππππ na sio mda tabeba madumu ya mafuta kwenda nyumba kwa nyumba dadek..
Ka unaweza tuingie mtaani
Daaah nipo huku kijijini,Ni 32000..π€π
Daaah Mungu akupe moyo huo huo my lovely sis..π€ππNitakuungisha hivyo vyote mdogoangu! Jumlisha vyote nitumie gharama zake kule nitalipia.
Ngoja niulize.. ila bei ya mwisho ipoDaaah nipo huku kijijini,
Bei ya mwisho sh.ngapi?
KaribuDaaah Mungu akupe moyo huo huo my lovely sis..π€ππ
Weweee unaposema viroba umenikumbusha mbali aiseeee...Naweza kubeba Hadi viroba vya Mchele.
Vishu kitambo sana hvi upo una fanya nn skuizi maana mara ya mwisho niliskia upo almashauli kitengo cha kukamata watuHongera kijana, niletekee nusu kilo ya mchele hapa vingunguti kidarajani.
Hapa naumwa mbavu aiseeeMkuu, ukiangalia tu Kwa haraka haraka unaona hiyo kazi inalipa vizuri kuliko ile ya kuwapeleka mishangazi katika upeo wa furaha?
Safi sana, kwa kimimbo hiyo inaitwa economic diversification.Hapa naumwa mbavu aiseee
Ann jana nimejua kujitoa akili an nimepeleka moto huo kiasi ambacho yule kiumbe asbhi natoka anatuma sm anasema kijana umenifurahisha maara kijana utaniuwa..
Mkuu nafanya biashara huku nazingatia mashangaz pia
Ahahahhaa Alhamdullilah...Safi sana, kwa kimimbo hiyo inaitwa economic diversification.
Sasa umekuwa kama msumeno, unakata kila upande π
Yeah, bora ujikite na biashara, mishangazi haitakufikisha popote bana!Ahahahhaa Alhamdullilah...
Oya nazingua bana...Now nipo clean kaka unajua umri unakwenda haya mambo bora yapungue tuu
TajiriiiiπΎ AM GRAIN STORE - CHANIKA πΎ
Tunauza NAFAKA BORA jumla na reja reja kwa bei nafuu!
π Tupo: Chanika, Dar es Salaam
π¦ Tuna: Mahindi, Maharage, Mchele, Mafuta, Unga, nk.
β Bei ya jumla kwa wafanyabiashara
β Bei ya reja reja kwa matumizi ya nyumbani
β Ubora umehakikishwa
β Tunafanya na delivery ndani ya Chanika na maeneo jirani ya dar es saalam
Wasiliana nasi sasa: 0675545795
Karibuni sana π Familia ya Jamii forum ku Sapport biashara ya kijana yenu
Vishu Mtata
View attachment 3647045
Aaaaaah mapema najihami... ππππππJamani kwani nimesema kitu mieπ€
Kuna kazi ya kubeba mafuta na kutembeza upo tayari...ππTajiriiii