Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,728
- 58,235
Kila la kheri
well done gentleman π€πΎ AM GRAIN STORE - CHANIKA πΎ
Tunauza NAFAKA BORA jumla na reja reja kwa bei nafuu!
π Tupo: Chanika, Dar es Salaam
π¦ Tuna: Mahindi, Maharage, Mchele, Mafuta, Unga, nk.
β Bei ya jumla kwa wafanyabiashara
β Bei ya reja reja kwa matumizi ya nyumbani
β Ubora umehakikishwa
β Tunafanya na delivery ndani ya Chanika na maeneo jirani ya dar es saalam
Wasiliana nasi sasa: 0675545795
Karibuni sana π Familia ya Jamii forum ku Sapport biashara ya kijana yenu
Vishu Mtata
View attachment 3647045
Karibu sana mkuu tunafanya Derivary na hii nitakua mwenyewe nyumba kwa nyumbaKila la kheri
Gentleman naomba oda yako sasa popote ulipo nikuletee...well done gentleman π€
Tafuta Hela safi mzee mtaji ni nguvu zako na Mungu akubarikiKaribu sana mkuu tunafanya Derivary na hii nitakua mwenyewe nyumba kwa nyumba
shukrani sana gentleman,Gentleman naomba oda yako sasa popote ulipo nikuletee...
ππππ
Ameeeen ameeenTafuta Hela safi mzee mtaji ni nguvu zako na Mungu akubariki
Mawardat si unaona mwenzako navotapata tapa lakini.. ππππππππππππMie naomba KAZI.
π€£π€£π€£π€£π€£,kwamba nguvu KAZI ya mishangazi!?Mawardat si unaona mwenzako navotapata tapa lakini.. ππππππππππππ
Usitake niongee mengi aiseee π€π
Wee acha tuu...... Ila support tuu ukisema nikuajiri wakati na mi hapa nina miezi bado nahangaikia ajira hapa AM GRAIN STORE yaan yaaan yaani πππππππππππ na sio mda tabeba madumu ya mafuta kwenda nyumba kwa nyumba dadek..π€£π€£π€£π€£π€£,kwamba nguvu KAZI ya mishangazi!?
Ni 32000..π€πMafuta dumu la lita 5 ni bei gani??
Nitakuungisha hivyo vyote mdogoangu! Jumlisha vyote nitumie gharama zake kule nitalipia.