Iko hivi nimekua kwenye mahusiano na my girl for almost 3.5 years now, tumefanya mambo mengi sana kwenye relationship yetu na nimemsaidia vitu vingi pia.
Mwambie hii story uliyotueleza hapa, mwenyewe atajiongeza. Itamuuma lakini mwisho wa siku maisha yataendelea. Ila na wewe jiandae kulipa machozi atakayolia maana ulijua tangu mwanzo kuwa humpendi ila unapita tu kwake!
Mwache haina shida sababu kabla yako alikuwa na mahusiano mengi na anajua uchungu wa kuachwa.....maskini labda we ndo mwanaume wake wa kueleweka waliopita wote wahuni tupu
Mwache haina shida sababu kabla yako alikuwa na mahusiano mengi na anajua uchungu wa kuachwa.....maskini labda we ndo mwanaume wake wa kueleweka waliopita wote wahuni tupu
Mwambie hii story uliyotueleza hapa, mwenyewe atajiongeza. Itamuuma lakini mwisho wa siku maisha yataendelea. Ila na wewe jiandae kulipa machozi atakayolia maana ulijua tangu mwanzo kuwa humpendi ila unapita tu kwake!
Mwambie hii story uliyotueleza hapa, mwenyewe atajiongeza. Itamuuma lakini mwisho wa siku maisha yataendelea. Ila na wewe jiandae kulipa machozi atakayolia maana ulijua tangu mwanzo kuwa humpendi ila unapita tu kwake!