Although Tanzanians need changes but not for Lowassa

Although Tanzanians need changes but not for Lowassa

CCM IENDELEE NA EPA, ESCROW, KUUZA MENO YA TEMBO etc??

UCHUMI uendelee kufa? Afya, Elimu, Miundombinu iendelee kufa??? Dola iendelee kupanda? $1=6000TShs??

ACT inayofadhiliwa na CCM???

Wanaotaka CCM iendelee kuongoza ni wale tu ambao hawajatembea na kuona nchi nyingine zinavyopiga hatua kimaendeleo nchi zina mipango ya maana ya maendeleo so tunaishia kuandaa mipango ya miaka 5 inayotupeleka kwenye uchaguzi. Ili nchi ipate economic transformation hatuwezi kuishi kwa mipango ya miaka 5.Viongozi na Taasisi za nchi yetu ama hawana maono au hawana uzalendo kwa taifa lao maana haiwezekani wasijue/kuona kinachoendelea katika nchi nyingine hata kwa kuiga tu yanayofanyika huko. Kwa msingi huo nampuuza mtu yeyote anayetetea asichokiamini
 
Heading yako mbovu sana kama haujui kiingereza tumia kiswahil.. Not... although Tanzania need changes not for Lowassa.. U should have said although Tanzania need changes not from Lowassa... Vipaumbele vyake ni elimu elimu elimu elimu elimu
 
Hivi unajua maana ya neno kuchoka? Kama unaamini ccm imechoka unataka wananchi wafanyeje?

Fikiri upya maana unatetea kilichochoka ambacho hakiwezi kutupeleka popote.

Kama ccm imechoka nasisi tumechoka kukivulia chama kilichochoka ndio maana wananchi wengi wameamua kukipumzisha kipumzike ili kipate nguvu mpya.
 
Asante kwa maoni Yako ila Jua kuwa haliwezi kutoka tunda zuri (Magufuli) kutoka mti mbovu (ccm)
 
Hili li sisiem likishinda tena,sitapiga kura kamwe katika maisha yangu yote maana itakuwa kama tumefungwa kifungo cha maisha ni bora kuzoea hali hiyo!
 
ni kweli ccm imechoka, imekosa mbinu mpya za kuwaletea watanzania maendeleo lakini si kumchagua lowassa kuwa rais.
Kuna sababu nyingi lakini kubwa zaidi ikiwa uadilifu. Lowassa sio muadilifu japo hata makufuli sina hakika kama ni msafi 100% ila kwa lowassa ni dhahiri shahiri.
Ukweli ni kwamba hatujapata mbadala wa kupiku ccm bora iendelee hadi utakapo patikana mbadala wakw. Act wasipo jichanfanya huenda wakafaa kuliko vyama vingine vyote vya upinzani.
Karibuni kwa mawazo yenu wana janvi.

i deliberately buy your agenda, wengi hawaitaki ccm madarakani kwasababu nyingi wazisemazo ila tunapokuja kuangalia mbadala wake tunaona ya kuwa ukawa haiwezi, kwanini nasapoti hoja yako...ni kama ifuatavyo;
1. Ni muungano wa nyama vingi vinavyoongozwa na katiba zaidi ya moja(kila chama)
2. Hawana utulivu wa ndani(wao wenyewe bado wanamivutano ya kimaslahi)hivyo hawawezi kuleta chochote cha maana.
3. Malengo yao yanabadilika badilika hovyo tokea katiba hadikusaka madaraka(chenge of objectives by accident).
 
Back
Top Bottom