Hili neno halitakiwi kubadilika kwasababu linakidhi mahitaji ya matumizi ya hapa kwa usawa. Hapa haijalishi wewe ni mdogo au mkubwa, wa kiume au wa kike utaitwa "Mkuu" vinginevyo utaanza ubaguzi,,,,,ukisema "Chief" hili lina ukakasi huwezi kumwita mwanamke chief, Labda useme "Mwanachama"