Alqaeda kama richmond

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,161
10,879
Hii mitandao miwili ina mambo mengi inayofanana.Kubwa kati yao ni kwamba yote ni mashirika yanayotumiwa na mafisadi.Yote ni makampuni ya mifukoni.
Wakati Richmond inasemekana kumilikiwa kihewa na watanzania na inafanya ufisadi Tanzani.Hii Alqaida inamilikiwa na CIA ya Amerika na inafanya ufisadi kwa binadamu kote duniani.
Ikisemwa Alqaida wamepost kwenye mtandao wao jambo fulani ningetaraji nikitafuta kwenye internet hata kama Marekani,Aljazeera, CNN na BBC.... hawakuutaja huo mtandao basi ningeziona hizo habari.Hakuna siku nimefanikiwa kwa lugha zote muhimu nizijuwazo.
Nijuwavyo huwa ni wenyewe CIA wanajisemesha na kujijibu kama alivyofanya Osama kujipiga picha akijiangalia mwenyewe kwenye TV.
Huu mchezo naufananisha na ule wa Jurrasic Park na hatimae itabidi itolewe tunzo.Nitaeleza kwanini hapo baadae....
 


Nijuwavyo huwa ni wenyewe CIA wanajisemesha na kujijibu kama alivyofanya Osama kujipiga picha akijiangalia mwenyewe kwenye TV.
Huu mchezo naufananisha na ule wa Jurrasic Park na hatimae itabidi itolewe tunzo.Nitaeleza kwanini hapo baadae....



I am very interested in your perspective but before present my take on that i believe we as reader are entitled for clarifications as explained in the above highlighted red. Kuepusha contradictions please do so... I am also all haywire on your anology of the whole issue to mchezo wa Jurassic Park...
 
[/COLOR][/B]


I am very interested in your perspective but before present my take on that i believe we as reader are entitled for clarifications as explained in the above highlighted red. Kuepusha contradictions please do so... I am also all haywire on your anology of the whole issue to mchezo wa Jurassic Park...
Nimefurahi Asha una usikivu.Nitakueleza ila waeleze Mod wa hili jukwaa wawache kila kitu kukitumbukiza kwenye Osama bin Laden killed!.
Hii ni mada tofauti na ile.
 
Nimefurahi Asha una usikivu.Nitakueleza ila waeleze Mod wa hili jukwaa wawache kila kitu kukitumbukiza kwenye Osama bin Laden killed!.
Hii ni mada tofauti na ile.


Ami kama unaamini inatakiwa hivyo si ungewasiliana nao kuwakilisha maoni. I believe kila member anaruhusiwa kujaribu kuwatafuta na kuwakilisha maoni. My take on this ni Kweli habari za Osama zimekua nyingi mno (nyingine hua sihangaiki hata kujua) but I believe kila moja ina angle yake na uwakilishaji tofauti.

Sasa basi turudi ktk topic yako, please give me your perspective behind the post.
 
Katika Jurassic Park igizo lililopata tunzo miaka kadhaa iliyopita,hamu ya kupenda kuwajuwa viumbe wa kale wanaoitwa Dinnossour ilipelekea kupatikana gene za hao wanyama.
Wataalamu wakafanikiwa kupata mayai na hatimae kuyaangua kwenye maabara.Vifaranga vya Dinnossour vikakukua haraka haraka.Muda si muda wakazaliana na kujaa tele maporini.Baadae wakawa wengi na kuingia kila pahala mijini.Kutokana na nguvu zao na kutojua ustaarabu wa binadamu tofauti na inavyokuwa kwa wanyama wengine kama punda na simba,haya madudu ikawa yanaingia majumba ya watu kupitia popote.Wanakula wanachokuta bila kusaza.Wakiwa barabarani wanapindua magari na kurusha kila kitu.
Hamkani ya Dinnossaur ikapelekea viundwe vikosi vya kupambana nao kwa kila aina ya silaha nzito..........................................................................................

Marekani kwa upande wake iliunda Alqaeda kwa kutumia resources zilizokuwepo kwa tamaa mbali mbali....mafuta,kuitawala dunia,kuupiga vita uislamu.Ikatafuta viongozi wake na kuwapa majukumu,viongozi wenyewe akina Osama na Mohammed Atta wala hawakujua.
Kwa kutumia Alqaeda Amerika ikaingia katika vita vya uongo vilivyosababisha maafa ya kweli.Kutokana na maafa ya vita vya kuwasaka Alqaeda wakatokea watu wa kweli walioichukia Amerika na kuanza mashambulizi.
Mashambulizi ya Taliban eneo la Khyber pass Pakistan kuzuia misafara ya malori kupeleka mahitaji kwa jeshi la Marekani ni ya kweli.Makombora yanayopiga malori ya mafuta na vipuri nje ya Karachi ambapo malori mpaka 100 huchomwa kwa siku moja ni mashambulizi ya kweli.Wale waliouwa maafisa wakubwa wa CIA kwenye control room wakidhani ni shushushu wao wale ni watu wa kweli..........

Kutokana na hali hizo Marekani sasa haina hamu tena na Alqaeda.Inabidi kila mbinu itumike kuiua katika fikra za watu ili athari yake isiendelee.Hapo ndipo likatayarishwa igizo la kitoto la Abbottabad.
 
Kwenye gazeti la Mwananchi la leo wameandika:

Mashirika ya Habari, LAHORE, Pakistani
WAKATI Marekani ikidai kuwa Osama bin Laden aliuawa na mmoja wa askari wa kikosi maalumu, kilichovamia katika nyumba yake ya siri katika mji mdogo wa Abbottabad, Pakistani kwa kumpiga risasi mbili, taarifa nyingine zimeeleza kuwa hakuuawa, bali alijilipua mwenyewe kwa bomu kuepuka kukamatwa akiwa hai.
Taarifa hizo zilizotolewa na Gazeti la The Nation la Pakistan toleo la jana, zilieleza kuwa Osama alijilipua na mwili wake kukatikakatika vibaya kiasi kwamba ilikuwa ni vigumu kuutambua.
Gazeti hilo lilieleza kuwa lilipata taarifa hiyo kutoka kwa mmoja wa maofisa wa usalama wa Jeshi la Pakistani ambaye hakutaka jina lake litajwe kwa kuwa suala hilo ni siri na alikuwa na mawasiliano na kikosi maalumu cha Marekani kilichovamia makazi ya Osama.
Huyu afisa wa usalama sasa wanataka kuchoma moto filamu yao na CIA
 
mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nini kinakushangaza !.
Unashindwa kushangaa na watu waongo kupata nafasi ya kuongoza taifa kubwa kama Marekani.Hujaona kwamba ni hatari kwa dunia.

Panetta kasema walijadili nini watafanya na picha za Osama tangu mwaka jana!.
Wanasema Obama si kweli kwamba alishuhudia tukio la kuuliwa Osama moja kwa moja lakini leo Obama anasema alishuhudia isipokuwa lilikatika.
Nini hiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Sikilizeni wana JF!.Ambao walimchukia Osama kwa dini yake naomba ondoeni chuki za kidini kwa heshima ya ubinadamu wenu.
Mimi sioteshwi na shetani kama babu wa Samunge lakini mapema asubuhi huwa nasoma Qur'an baada ya swala na kabla kuingia ofisini kwangu.Watu wa aina zetu huwa mawazo ya najisi hayaingii akilini mwetu.

Ukweli kuhusu Osama ni kuwa hakuwepo Abbottabad siku ile ya May 1.Alikufa zamani,kwanza nilitaja miaka 3 iliyopita kumbe ni 10 kufuatana na maelezo ya waliomzika.Waliouliwa mule maskini!, ni wale walioajiriwa kulitunza lile jumba la sanaa.
Marekani,Pakistan na Saudi Arabia kupitia mashirika yao ya kijasusi walishajua habari zote za Osama isipokuwa ile vita hawakuwa na hamu kuimaliza ili malengo ya kila mmoja yatimie.
Kilichotokea Abbottabad,wahusika wakuu ni Pakistan na Marekani.Maraisi wao,mawaziri wao na vyombo vyao vya usalama wanajichanganya sana kutoa maelezo ya tukio hewa.Mungu azidi kuwalani ili dunia iwe salama.
 
Eti identity ya SEAL waliomuuwa Osama itafichwa ili kulinda usalama wao na familia zao.Tamko la mkuu wa CIA hilo.Hii inafuatia kumiminika waandishi wa habari kambini kwao kwa hamu ya kutaka kuwahoji ilivyokuwa.
Hata siku Obama alipokutana na SEAL baada ya tukio,aliyempiga Osama risasi mbili na kumuua alikuwepo katika kundi lakini hawakutaka Obama amtambue.Mi nilidhani ndio ataoneshwa ili ampatie nishani kumbe.......
Kenya nayo imeweka ulinzi kwa bibi yake Obama,bi Sarah.Obama mwenyewe wala hana hamu naye mbona hajakwenda Kenya kumtembelea.Kule kwao Israel, lakini keshakwenda mara kadhaa.
Hawa watu wanaumiza vichwa vyetu kujadili na kusikiliza vitu hewa.
 
Sikilizeni wana JF!.Ambao walimchukia Osama kwa dini yake naomba ondoeni chuki za kidini kwa heshima ya ubinadamu wenu.
Mimi sioteshwi na shetani kama babu wa Samunge lakini mapema asubuhi huwa nasoma Qur'an baada ya swala na kabla kuingia ofisini kwangu.Watu wa aina zetu huwa mawazo ya najisi hayaingii akilini mwetu.

Ukweli kuhusu Osama ni kuwa hakuwepo Abbottabad siku ile ya May 1.Alikufa zamani,kwanza nilitaja miaka 3 iliyopita kumbe ni 10 kufuatana na maelezo ya waliomzika.Waliouliwa mule maskini!, ni wale walioajiriwa kulitunza lile jumba la sanaa.
Marekani,Pakistan na Saudi Arabia kupitia mashirika yao ya kijasusi walishajua habari zote za Osama isipokuwa ile vita hawakuwa na hamu kuimaliza ili malengo ya kila mmoja yatimie.
Kilichotokea Abbottabad,wahusika wakuu ni Pakistan na Marekani.Maraisi wao,mawaziri wao na vyombo vyao vya usalama wanajichanganya sana kutoa maelezo ya tukio hewa.Mungu azidi kuwalani ili dunia iwe salama.


Ami belief zako jinsi ulivyozishikilia... Najua and I wish it was the truth; but what is the truth mbele ya ulimwengu ambao tayari unaamini otherwise bila kua na ushahidi wa ku back up??? ni zero .... En ways no energy saizi will definately come back because nataka tupeane one on one tuweze wekana sawa... tokana na kila mmoja anavyoamini na kutafakari...
 
Ami belief zako jinsi ulivyozishikilia... Najua and I wish it was the truth; but what is the truth mbele ya ulimwengu ambao tayari unaamini otherwise bila kua na ushahidi wa ku back up??? ni zero .... En ways no energy saizi will definately come back because nataka tupeane one on one tuweze wekana sawa... tokana na kila mmoja anavyoamini na kutafakari...
Hapo Asha sijakuelewa vizuri,Hasa uliposema "but what is the truth mbele ya ulimwengu ambao tayari unaamini otherwise bila kua na ushahidi wa ku back up??? ni zero .... "
Hebu fafanua kuhusu ulimwengu kuamini otherwise.Kwasababu naamini kuna sehemu kubwa ya ulimwengu inayoamini kama mimi.
 
Hapo Asha sijakuelewa vizuri,Hasa uliposema "but what is the truth mbele ya ulimwengu ambao tayari unaamini otherwise bila kua na ushahidi wa ku back up??? ni zero .... "
Hebu fafanua kuhusu ulimwengu kuamini otherwise.Kwasababu naamini kuna sehemu kubwa ya ulimwengu inayoamini kama mimi.


Ami najua wengi (ingawa in a small number) wanajua kua kitu kihusucho Bin Laden na Alqaeda kiko very fishy kwa wale - kwa watambuzi/watathimini wa mambo ya hapa duniani yanavyoenda.. Lakini some times haina hata maana mana the truth has failed to be carried out to the world. Lakini haina maana kua it will always be that way for the truth will eventually prevail... And for truth to be prevail time has to take its directions... Saizi sie ni wachangiaji wa maoni na mawazo tokana na kila mmoja alivyo tafakari... But the next generations will definately know what really happened na US imeonesha through history kua ni tabia yao....
 
Washington (CNN) -- A conservative legal watchdog group has filed the first lawsuit seeking public release of video and photographs of the U.S. military raid and aftermath that left al Qaeda leader Osama bin Laden dead.
Judicial Watch is asking the Department of Defense to comply with a Freedom of Information request for the material, especially photos of the September 11 mastermind lying dead on the third floor of his Pakistan hideout. The legal complaint to force compliance was made in federal court in Washington on Friday.
The group says it is being "irreparably harmed" by the Obama administration's "unlawful withholding of requested records."
Judicial Watch made its initial request the day after the commando assault by Navy SEALs. A similar request for material was filed against the CIA.
President Barack Obama had announced that the U.S. government would not reveal any photographs of the May 2 military action and bin Laden's subsequent burial at sea. Some members of Congress have been allowed to privately view the materials this week.
Some al Qaeda-affiliated leaders, along with domestic and foreign websites and blogs, have questioned whether bin Laden was really killed and whether the details of his death released by the administration were accurate.
A May 9 letter from the Pentagon to Judicial Watch -- mentioned in the legal complaint -- stated, "At this time, we are unable to make a release determination on your request within the 20-day statutory time period" required by federal law. The legal group had the option of filing an administrative appeal directly with the Defense Department, rather than going for a lawsuit.
"The American people have a right to know, by law, basic information about the killing of Osama bin Laden," Judicial Watch President Tom Fitton said. "Incredibly, the Obama administration told us that it has no plans to comply with the Freedom of Information law, so we must now go to court. President Obama's not wanting to 'spike the football' is not a lawful basis for withholding government documents. This historic lawsuit should remind the Obama administration that it is not above the law."
Obama had barred any public release of photos or video, telling CBS News, "It is important to make sure that very graphic photos of somebody who was shot in the head are not floating around as an incitement to additional violence or as a propaganda tool." He added, "We don't trot this stuff out as trophies. We don't need to spike the football."
Judicial Watch calls itself a "a conservative, nonpartisan educational foundation (promoting) transparency, accountability and integrity in government, politics and the law."
The case is Judicial Watch v. U.S. Department of Defense (1:11-cv-00890).
 
Washington (CNN) --

Obama had barred any public release of photos or video, telling CBS News, "It is important to make sure that very graphic photos of somebody who was shot in the head are not floating around as an incitement to additional violence or as a propaganda tool." He added, "We don't trot this stuff out as trophies. We don't need to spike the football."


Hypocritical Back Stubbing Coward......
 
Hapo Asha sijakuelewa vizuri,Hasa uliposema "but what is the truth mbele ya ulimwengu ambao tayari unaamini otherwise bila kua na ushahidi wa ku back up??? ni zero .... "
Hebu fafanua kuhusu ulimwengu kuamini otherwise.Kwasababu naamini kuna sehemu kubwa ya ulimwengu inayoamini kama mimi.

Tupo watu wengi tu, ambao tunajua maigizo ya wamarekani.
Kuna hoja nyingi sana za msingi toka kwa Fidel Castrol kuhusiana mahusiano ya Osama na CIA... hoja hizi huwa hazijibiwi sana sana wanaishia kutaka kuaminisha watu kuwa Castrol ni dictator muongo.
Then Ahmednejad (Rais wa Iran) alitoa hoja kuhusiana na shambulio la september 11, Obama akaishia kususia kikao cha baraza la usalama.
Hii yote kwa mtu mwenye akili lazima utaelewa kuwa hawa viongozi (Castrol na Ahmednejad) hawakuongea kwa kurupuka tu.
Yah kama alivyosema Asha D "truth will eventually prevail"....
Lakini mi ningeshauri (hasa kwa sisi waafrika) kuacha ushabiki wa siasa za marekani na magharibi sababu marazote "mambo wanayoyafanya hayapo kama watu wa kawaida wanavyodhani"
Carollla Kinasha kwenye nyimbo yake ya "Tunazama" alihoji waafrika wenzake "vita hii (ya ugaidi) ya nani tunayopigana"
 
Back
Top Bottom