Alphonce Temba, afichua: Nilimshauri Kabila wazime Mtandao wakati wa Matokeo ya Uchaguzi

Alphonce Temba, afichua: Nilimshauri Kabila wazime Mtandao wakati wa Matokeo ya Uchaguzi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Alphonce Temba, aliyekuwa mtia nia ya Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia CCM, amefichua kuwa aliwahi kushika nafasi ya mshauri wa juu wa viongozi wawili wa Afrika: Rais wa zamani wa Zambia, Mheshimiwa Michael Sata, na Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mheshimiwa Joseph Kabila.

Temba anasema moja ya ushauri wake mkubwa kwa Kabila ulikuwa ni kuzimwa kwa mtandao wa simu na intaneti wakati wa kutangaza matokeo ya uchaguzi kupitia CENI (Tume ya Uchaguzi ya DRC), kwa nia ya kudhibiti taarifa potofu na taharuki.

 
Nimemaliza kumsikiliza pole pole naona taifa linaandaliwa vema kisaikolojia kujisimamia mwaka huu.

Nukuu za Pole pole.

1/ Mama ukichukua form na kugombea Urais utakuwa umetutukana watanzania wote.

2/Mama unataka kugombea na Salum Mwalimu wa chauma, Mama unataka kugombea na Mpina wa Act. Kweli mama unataka kugombea na hawa na moyo wako una amani kabisa?

3/ Kwani Act sisi ccm hatuijuhi? Pole pole anatufumbua macho na kututhibitishia jambo hapa kuhusu Act.

4/ Pole Pole anashauri mama amuachie Mh Lissu bila masharti aende kwenye familia yake. Kisha aitishe muafaka wa kitaifa kabla ya kuingia kwenye uchaguzi. Amesema vyombo vya dola vitajipanga kutokana na maamuzi ya wananchi ambao ndio wenye nchi. Hapa maana yake tume isituambie muda umekwisha. Kila jambo linawezekana waamuzi wa mwisho ni wananchi sio ratiba za serikali na vyombo vyake.

5/ Kuhusu Hayati magufuli sizumgumzii chochote kila mmoja ameelewa code za Pole pole.

6/ Kuhusu Ndugai na kobe wa uvvccm kupandishwa juu ya mti ili kumtukana Ndugai na kumlazimisha ajiuzulu pia sisemi.Mtu yule kutoka kundi la mtandao anayeogopeka na kutisha. Aliyekwenda Dodoma kwa Ndugai na kumwambia jiuzulu na kisha mzee akasema.Nimekosa mimi...Nimekosa sana..Nisameewe huyo naye simzungumzii.Pole pole Amesema kundi hilo linatisha sana.

Hamphrey Pole pole you made my day.

Chadema wako sawa tukatae wahuni kwanza ndipo twende kwenye uchaguzi.This is our country.

Wale mnaodharau msimamo wa chadema muwe na adabu mmeelewa sasa nchi iko wapi.

Wale mnaosema wana chadema wanamezwa na hoja za pole pole muwe na adabu.Huyu jamaa ametujengea nguvu ya mapambano leo kiasi kwamba tunaona kabisa huu ndio mwaka wa mabadiliko.

Kataa wahuni ponyesha Tanzania.
 
Alphonce Temba, aliyekuwa mtia nia ya Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia CCM, amefichua kuwa aliwahi kushika nafasi ya mshauri wa juu wa viongozi wawili wa Afrika: Rais wa zamani wa Zambia, Mheshimiwa Michael Sata, na Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mheshimiwa Joseph Kabila.

Temba anasema moja ya ushauri wake mkubwa kwa Kabila ulikuwa ni kuzimwa kwa mtandao wa simu na intaneti wakati wa kutangaza matokeo ya uchaguzi kupitia CENI (Tume ya Uchaguzi ya DRC), kwa nia ya kudhibiti taarifa potofu na taharuki.

Hawa ndio washauri wa viongoz? Unategemea nn?
 
Hawa ndio washauri wa viongoz? Unategemea nn?
Hivi watu wa aina hii. wasio na uwezo hata wa kuona wala kujenga hoja ndogo wanapatikanaje? Na kwanini wanapewa kazi zenye kuhitaji watu wenye uwezo mkubwa?
Kuna shida gani kuwapata watu wenye uwezo mkubwa siku hizi? Halafu kwanini wanapewa nafasi watu wapiga porojo, ambao hawana uwezo wa kusoma gazeti page moja na kumaliza?
Bila kusoma na kujisomea, uwezo wa kujenga hoja unapata wapi? Maandishi yana siri zote za kutawala dunia. Sio soga za vijiwe vya kahawa
 
Sema hii ya ku confirm kuwa kundi la KJ kwa kushirikiana na aliyekuwa makamu wa rais wakati huo kushiriki kumuua Dkt Magufuli aisee ni mbaya sana tena sana.
 
Nani huyo polepole Magufuli alikatika ghafla sana Kama Membe hii ya Ndugai ngoja tuone
Sema hii ya ku confirm kuwa kundi la KJ kwa kushirikiana na aliyekuwa makamu wa rais wakati huo kushiriki kumuua Dkt Magufuli aisee ni mbaya sana tena sana.
 
Alphonce Temba, aliyekuwa mtia nia ya Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia CCM, amefichua kuwa aliwahi kushika nafasi ya mshauri wa juu wa viongozi wawili wa Afrika: Rais wa zamani wa Zambia, Mheshimiwa Michael Sata, na Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mheshimiwa Joseph Kabila.

Temba anasema moja ya ushauri wake mkubwa kwa Kabila ulikuwa ni kuzimwa kwa mtandao wa simu na intaneti wakati wa kutangaza matokeo ya uchaguzi kupitia CENI (Tume ya Uchaguzi ya DRC), kwa nia ya kudhibiti taarifa potofu na taharuki.

Wasiojulikana kwa ubora wao.
 
Sema hii ya ku confirm kuwa kundi la KJ kwa kushirikiana na aliyekuwa makamu wa rais wakati huo kushiriki kumuua Dkt Magufuli aisee ni mbaya sana tena sana.
Maana wasingefanya hivyo hata magufuli angeendelea kuua wengi. Kama walifanya hivyo kweli walifanya jambo la maana sana. Tatizo ni kuwa na wao wameiga kile kile alichokuwa anafanya huyo Magufuli. Sasa acha watajane kwanza.
 
Alphonce Temba

TOKA MAKTABA :

14 June 2023
Mwinjilisti wa kimataifa, Alphonce Temba amesema maamuzi ya Rais Samia Suluhu Hassan, dhidi ya bandari yanapaswa kuheshimiwa akidai kuwa yatailetea nchi mafaniko makubwa.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Khlfm7UMMI0
Pia aliongeza kuwa wanopinga juhudi hizo wengi wao ni walarushwa na wanufaika wakubwa wa bandari ile, na kwamba hawafahamu adha wanayopitia wafanyabiashara....
 
TOKA MAKTABA :

14 June 2023
Mwinjilisti wa kimataifa, Alphonce Temba amesema maamuzi ya Rais Samia Suluhu Hassan, dhidi ya bandari yanapaswa kuheshimiwa akidai kuwa yatailetea nchi mafaniko makubwa.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Khlfm7UMMI0
Pia aliongeza kuwa wanopinga juhudi hizo wengi wao ni walarushwa na wanufaika wakubwa wa bandari ile, na kwamba hawafahamu adha wanayopitia wafanyabiashara....

Wasiojulikana huyu
 
Mpumbavu sana huyu. Alishauri mtandao uzimwe?? Shenzi kabisa!!
 

Evangelist Alphonce Temba : Edgar Chagwa Lungu could be President again 2026​


1754673786921.jpeg

Photo : the late Edgar Lungu

DAR- Tanzanian Preacher and International Evangelist,Mr. Alphonce Temba has prophesy that Mr. Edgar Chagwa Lungu will return to power as president again.​

It's through the Zambian General Election which is expected to be held in 2026. The politician and President of the Sixth Phase who was born on November 11, 1956 served as the president of Zambia from January 26, 2015 to August 24, 2021.​

Through his prophesy of March 15, 2024 Evangelist Temba has said, God has shown Lungu that he is going to receive the baton from President Hakainde Hichilema who entrusted him with power on August 24, 2021.​

Perhaps, this prophesy comes at a time when Zambia, which had high hopes from the businessman, farmer and politician, Hichilema about raising the economy and improving the well-being of their lives, things are said to have gone wrong​

Source : Diramakini blog
 
Back
Top Bottom