Alpha Blondy aachia albam yake mpya

Alpha Blondy aachia albam yake mpya

Ziroseventytwo

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
9,394
Reaction score
17,757
Inakwenda kwa jina la Human race. Ina nyimbo kumi na moja. Mkongwe huyo wa muzic wa raggae barani Afrika amewashirikisha baadhi wa wanamuziki nguli wa afrika. Fally Ipupa, Angelina Kidjoh na Yousou Ndour. Albam hiyo mpya inazinduliwa leo tarehe 31/08/2018. Kwa wapenzi wa Muzic wa reggae kaeni kmkao wa kula.

Screenshot_20180831-105315.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakwenda kwa jina la Human race. Ina nyimbo kumi na moja. Mkongwe huyo wa muzic wa raggae barani Afrika amewashirikisha baadhi wa wanamuziki nguli wa afrika. Fally Ipupa, Angelina Kidjoh na Yousou Ndour. Albam hiyo mpya inazinduliwa leo tarehe 31/08/2018. Kwa wapenzi wa Muzic wa reggae kaeni kmkao wa kula.View attachment 852209

Sent using Jamii Forums mobile app
My favorite reggae legend

Jr[emoji769]
 
Album ya mwisho alitoa mwaka gani?? Mie nilijua alishatutoka kitambo sana
 
Nimekua nikimsikiliza Alpha blondy kwa miaka mingi sana,Baada ya Bob marley basi Alpha blondy anafuatia kwa upande wangu.
 

Attachments

Similar Discussions

Back
Top Bottom